uwezekano upo mkubwa sana dada kuacha ,... jamaa aulize ni wapi anakosea ndiyo suluhu
Ndiyo, upo uwezekano huo!
Na hapo asianze kuwaza eti kwa kuwa alitafutiwa ndiyo maana mke anafanya huo uhuni..si waliongea na kukubaliana kabla!??[/
waliongea na kukubaliana na kupendana, ila mashaka je mdada ni kweli ameolewa kwa upendo na kweli atabadilika?
Hakuna kosa kwa kuwa mdada hajasema mume alokosea nini? Mawazo yangu mdada alitaka kumridhisha mpenzi wake wa zamani sijui ni farewell au ndo alivyopanga
Possible dada,huwezi jua wewe kunakukosa kula mzigo ipasavyo achana na makosa ya kawaida ila kukunwa hpo ndiyo dada afunguke
Asante dada kwa majibu mazuri na ya kutia matumainiSuala la kubadilika ni kumwomba Mungu kwa kweli kwa sababu utayari wa kubadilika anaomoyoni mwake huyo muhusika je ni kweli ametubu kutoka moyoni au alikubali tu kuolewa lakini hakumpenda mshikaji kiivyo alitaka kusafisha nyota au ni kweli shetani alimpitia na amegundua kosa lake majibu yote anayo yeye muhusika. Jamaa ampe nafasi nyingine labda katubu kweli kutoka moyoni, tabia ni kilema haijifich maisha
uwezekano upo mkubwa sana dada kuacha ,... jamaa aulize ni wapi anakosea ndiyo suluhu
Hakuna kosa kwa kuwa mdada hajasema mume alokosea nini? Mawazo yangu mdada alitaka kumridhisha mpenzi wake wa zamani sijui ni farewell au ndo alivyopanga
Kwanza n dini gan hao wanandoa
Wakati akijiuliza awe kishamuacha maana hafai kabisa hata nusu mwakabado? duh
Kwanza n dini gan hao wanandoa