Mapambano Yetu
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 1,133
- 2,128
Baadhi ya Misikiti
ina vyumba vya siri vinavyotumika kufundishia kareti na judo. Mafunzo
hutolewa kwa vijana wa kiume angali wakiwa wadogo. watoto hufundishwa
ili hali wakijengwa kisaikolojia kuwa ipo siku watakwenda kumpiga
khafiri. Mifano mizuri iko Kigoma Ujiji. Misikiti ya ujiji ina maeneo
maalum ya kufundishia judo na kareti na mafunzo hayo yanatolewa kwa
vijana wa kiislam tu ndani ya vyunba hivyo. Pia baadhi ya misikiti
Manispaa ya iringa inayo maeneo hayo. Na milangoni wanaandika, "Si
ruhusa kuingia kama si mhusika"
Kutokana na hili vyombo vya usalama fanyeni uchunguzi kwani kumjenga
mtoto kisaikolojia ili awe tayari kupanbana na khafiri ni hatari na
inaweza kuwa sehemu ya kuandaa watu hatari kwa taifa la baadae.
Hata hapa kiwalani, kwani unadhani hawafahamu, ila sasa watafanya nini bosi kawaambia tulieni
Hata hapa kiwalani, kwani unadhani hawafahamu, ila sasa watafanya nini bosi kawaambia tulieni
Baadhi ya Misikiti ina vyumba vya siri vinavyotumika kufundishia kareti na judo. Mafunzo hutolewa kwa vijana wa kiume angali wakiwa wadogo. watoto hufundishwa ili hali wakijengwa kisaikolojia kuwa ipo siku watakwenda kumpiga khafiri. Mifano mizuri iko Kigoma Ujiji. Misikiti ya ujiji ina maeneo maalum ya kufundishia judo na kareti na mafunzo hayo yanatolewa kwa vijana wa kiislam tu ndani ya vyunba hivyo. Pia baadhi ya misikiti Manispaa ya iringa inayo maeneo hayo. Na milangoni wanaandika, "Si ruhusa kuingia kama si mhusika"
Kutokana na hili vyombo vya usalama fanyeni uchunguzi kwani kumjenga mtoto kisaikolojia ili awe tayari kupanbana na khafiri ni hatari na inaweza kuwa sehemu ya kuandaa watu hatari kwa taifa la baadae.
kiwalani ni kubwa mkuu. vema ukataja specifically ni msikiti gani huo. shida yenu ni kuwa mnataka kuingia hata sehem isiyowahusu. msipopata bahati ya kuingia ndo mnaanza kuzisha
Ni vizuri ungeitaji hiyo misikiti
Nadhani kuwapa vijana mazoezi ya ukakamavu siyo tatizo, hata Wasabato wanapokuwa kwenye Makambi huwapa vijana mafunzo ya ukakamavu, tusiwaonee Waisalmu.
Siyo vizuri kabisa kuendekeza mambo haya ya udini, iko haja kusimama kidete na kupingana na yeyote mwenye kupenda kuleta mada za aina hii humu JF bila ujali ni wa dini yako au la, mimi ni mkristo lakini mada za udini siziungi mkono hata mar moja.UNAFIKI WENU UTAWAUWAAAA...
Hili tatizo la Tanzania kuangalia hizi issue upande mmoja ni HATARI KUBWA SAAAAAANA.....kuliko tunavyodhania na kuhadithiana humu kwa majina ya kificho !
SAINT BENEDICT FATHER'S - PERAMIHO wao pale parokia , Sijui jimboni Songea ndio wanavyooita WANAMILIKI KABISA SILAHA ZA KIVITA.
Source: Gazeti la RAIA MWEMA.
SWALI;
Zimeingiaje hapa nchini silaha hizo na kwa madhumuni gani ? Tusifiche uchafu chini ya kapeti
HOJA;
Mnataka wasijifunze Karate na Judo. Sawaaaa.... Badala yake wajifunze nini ? Kuimba mapambio ama mila zile za ki ANGLIKANA ?
Nchi hii ni ya Wakristo peke yao ?
Juzi Maaskafo wamekwenda kwa JK - IKULU wanamueleza Umbea & Majungu ati kuwa ISLAMIC BANKING ni tatizo.... Watu wazima waliokwenda shule wanapata tabu na mfumo wa Ki Bank unaompendeza MUNGU....??
Yaaani hata sijui wanataka Waislamu nchi hii wahame ? Hata sielewi....