naomba tuwasiliane kwa namba ya simu 0714890018Bicycle tracking system haipo mkuu, nahitaji kuweka kwenye baiskeli yangu.
unaweza kupatiwa remote , unapobonyeza ndio linajifungua au unaweza kuwekewa sensa likawa linajifungua lenyewe inapohitajika au kudetect gariLinajifungua lenyewe au mpaka lifunguliwe na mtu???
unaweza kupata la rimoti au lenye kutumia sensa na kujifunga likidetect kitu .Hilo geti linatumia rimoti?
Je ya namna hii gharama yake ni kiasi gani?unaweza kupata la rimoti au lenye kutumia sensa na kujifunga likidetect kitu .
bei ita range kwa kiasi nilichotaja hapo juu. kutokana na mazingira ya eneo lilivyoJe ya namna hii gharama yake ni kiasi gani?
Hahahaha,aisee SIM umenichekesha sana aiseeLinajifungua lenyewe au mpaka lifunguliwe na mtu???
muda mwingine ni ngumu kupiga picha vitu vya mteja na kupost kwenye public , huwa hatupendelei kupiga sana picha vitu vya wateja wetu , ila nakuhakikishia utafurahi ubora wa kazi utakayokufanyia na kama tutapata picha zozote za kazi ambazo mteja atakuwa tayari kushare in public basi tutazitumia hizo karibu ndugu.Aise ekumbe sio ghali,maana nilikuwa nikiona kwenye nyumba najua bei kubwa saana
Huu uoga aisee ndio mzigo wetu,umaskini nao bila kujifunza ni Ugonjwa,sio kila kitu alichonachoa tajiri kwamba maskini unashindwa kumiliki,ila vingi ni hofu yetu tu
Mkuu bei rahisi,mambo yangu yakikaa sawa nitakututa
Ila ingekuwa vizuri zaidi ungetumia picha halisi za kazi zenu,ingevutia zaidi,ila hizo naona ni za kule kwa kina kadashian
muda mwingine ni ngumu kupiga picha vitu vya mteja na kupost kwenye public , huwa hatupendelei kupiga sana picha vitu vya wateja wetu , ila nakuhakikishia utafurahi ubora wa kazi utakayokufanyia na kama tutapata picha zozote za kazi ambazo mteja atakuwa tayari kushare in public basi tutazitumia hizo karibu ndugu.
nipo hapa kujibu swali lolote litakalokutatiza . Kama unalo unaweza kuuliza na nitakujibu . Lakini unaweza wewe mwenyewe kufikiria mafundi wamefika katika nyumba yako na wanapiga picha mazingira ya nyumbani kwako na kuja kuleta kwenye mitandao ya kijamii . Tumefanya kazi nyingi sana na hatuoni kama hilo ni jambo zuri kulifanya kwa wateja wetu vinginevyo ilazimike au mteja mwenyewe aridhie. KaribuKwa mtu mwenye uelewa hii post yako inaacha maswali mengi kuliko majibu. Unfortunately ndo business approach ya waTanzania wengi.
All the best mkubwa!
muda mwingine ni ngumu kupiga picha vitu vya mteja na kupost kwenye public , huwa hatupendelei kupiga sana picha vitu vya wateja wetu , ila nakuhakikishia utafurahi ubora wa kazi utakayokufanyia na kama tutapata picha zozote za kazi ambazo mteja atakuwa tayari kushare in public basi tutazitumia hizo karibu ndugu.
Naunga mkono jojaMkuu, sio lazima utumie picha za wateja kwani unaweza kutengeza sampuli ya picha kadhaa ambazo unapata kutoka kwa supplier wako.
Baada ya hapo unapiga picha zingine mbalimbali katika sehemu mbalimbali ukifanya mfano wa geti au kwenye yard yako.
Pili, ukipata picha hizo na maeelo yaloshiba unajiweka kwenye website ambayo inakuwa rahisi kwako kuwasiliana na wateja kwa barua pepe na mambo mengine.
Ila hivyo ni vitu vya kawaida sana na kwa Tanzania jitahidi uwe mtaalam pekee na je unatoa after service?
sisi hatutengenezi mageti , tunachofanya ni kufunga mtambo/mashine itakayokuwa inalifungua na kulifunga geti hapo itajumuisha ufungaji wa sensa na vitu vingine. Sasa kitu ambacho naweza kukuonyesha ni mashine tu.Naunga mkono joja
Nikweli ni mbaya kuweka post ya picha kwa mwenye nyumba yaani geti likiwa fixed tayari,inakuwa haipo vyema.
Ila unaweza kulipiga wakati likiwa kwenye kiwanda chenu kabla ya kulihamisha,as sample.
Website hata ya page moja ni nzuri zaidi mkuu,hafikifi hata laki sita kwa website simple