Usajili wa UDOM shida ni mtandao au nini?

Usajili wa UDOM shida ni mtandao au nini?

Top gun maverick

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2017
Posts
2,092
Reaction score
2,913
Habari wanajukwaa, poleni na mihangaiko ya kutafuta riziki?

Mimi hili jukwaa limekuwa likinisaidia katika issues nyingi tu na ni msaada kwa wengine ila leo nilikuwa na suala moja ambalo linanisumbua siku nzima kuhusu application za UDOM kuna kipengele cha academic results sasa inaload alafu inaniambia please wait fetching for necta results.......halafu baadae inasema failed nimejaribu mara nyingi lakini wapi.

Naomba msaada natanguliza shukurani wakuu.
 
kama wanazengua jaribu. www doti mocu doti ac doti tz
 
Endelea kujaribu tu ,,system kwa sasa inasumbua wanaofanya application ni wengi na kwa chuo kama UDOM ni wengi zaidi
 
kama ulilipa kwa njia ya tigo pesa utapata tabu sana niliongea nao wakaniambia tigo pesa haifanyi kazi mpaka utumie crdb kufanya malipo
 
Habari wanajukwaa, poleni na mihangaiko ya kutafuta riziki?

Mimi hili jukwaa limekuwa likinisaidia katika issues nyingi tu na ni msaada kwa wengine ila leo nilikuwa na suala moja ambalo linanisumbua siku nzima kuhusu application za UDOM kuna kipengele cha academic results sasa inaload alafu inaniambia please wait fetching for necta results.......halafu baadae inasema failed nimejaribu mara nyingi lakini wapi.

Naomba msaada natanguliza shukurani wakuu.
Hebu jaribu usiku wa manane au karibia kunakucha walau kwa wakati huo mtandao unakuwa haujazidiwa sana. usiku unaweza ukafanya applications hata kutumia smartphone yako tu. hakikisha MB zipo na network inasoma vizuri
 
Habari wanajukwaa, poleni na mihangaiko ya kutafuta riziki?

Mimi hili jukwaa limekuwa likinisaidia katika issues nyingi tu na ni msaada kwa wengine ila leo nilikuwa na suala moja ambalo linanisumbua siku nzima kuhusu application za UDOM kuna kipengele cha academic results sasa inaload alafu inaniambia please wait fetching for necta results.......halafu baadae inasema failed nimejaribu mara nyingi lakini wapi.

Naomba msaada natanguliza shukurani wakuu.
Hebu jaribu usiku wa manane au karibia kunakucha walau kwa wakati huo mtandao unakuwa haujazidiwa sana. usiku unaweza ukafanya applications hata kutumia smartphone yako tu. hakikisha MB zipo na network inasoma vizuri
 
Habari wanajukwaa, poleni na mihangaiko ya kutafuta riziki?

Mimi hili jukwaa limekuwa likinisaidia katika issues nyingi tu na ni msaada kwa wengine ila leo nilikuwa na suala moja ambalo linanisumbua siku nzima kuhusu application za UDOM kuna kipengele cha academic results sasa inaload alafu inaniambia please wait fetching for necta results.......halafu baadae inasema failed nimejaribu mara nyingi lakini wapi.

Naomba msaada natanguliza shukurani wakuu.
Hebu jaribu usiku wa manane au karibia kunakucha walau kwa wakati huo mtandao unakuwa haujazidiwa sana. usiku unaweza ukafanya applications hata kutumia smartphone yako tu. hakikisha MB zipo na network inasoma vizuri
 
Hebu jaribu usiku wa manane au karibia kunakucha walau kwa wakati huo mtandao unakuwa haujazidiwa sana. usiku unaweza ukafanya applications hata kutumia smartphone yako tu. hakikisha MB zipo na network inasoma vizuri
aha thanks imekubali sema daa hii udom ni tofauti xana na vyuo vingine hapa ni course tatu sio tano
 
Back
Top Bottom