Usajili wa gari

msadapadasi

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2011
Posts
504
Reaction score
62
Wakuu naomba kuuliza Mimi ninaishi Mbeya.

Je, utaratibu upoje kama nataka kutumia gari kutoka Malawi au Zambia ikiwa na usajili wa Malawi, kuna namna ya kulipia iwapo nataka kutumia kwa miezi kadhaa then narudisha.

Msaada tafadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…