new generation
JF-Expert Member
- Mar 14, 2012
- 815
- 1,713
Mkuu kwani udsm washaita watu kwenye usaili? Je, wewe shida yako ni kujuwa mtiririko wa maswali au taarifa kama wameita?
Unaingia inajitambulisha wanakupiga maswali,kwa arts lazima ueleze kitabu ulichosoma,falsafa ya mwandishi na aspiration yako.kama umevuka 30 years watazingua
new generation, Inategemea..., ukifika unaweza kupewa dk 30 za kuandaa 10 min power point presentation ktk specialization yako...., ukisha-present unapigwa maswali ya kutosha..., kumbuka kuvaa vizuri (smart), confidence ya hali ya juu, chagua topic unayoi-masta vilivyo...., mengine utakutana nayo huko.
Usisahau kutoa mrejesho kwa yatakayojiri.
Kila la kheri.
Nimefanya leo interview yao. Uliyosema ndo nilio kutana nayo. Ilikua interview very interesting, nimepigwa maswali meng sana na panel ya watu takribani 10. Nashukuru mungu nimeweza mudu interview kwa kujibu yalio ulizwa.
kuna wenye 4.7 wewe uliachwa kwa sababu ya ukilaza wako
Mm niliambiwaga..ni fanye presentation... power point,then niandike story yeyete yenye social dylema ....after ata sikuitwa japo nina 4.4...sijui kwa sababu nimesoma udom??
Fafanua mkuu new generation