Usaili wa TAA duu changamoto

Uongo gani Sasa au na ww ulifanya halaf ukaingia chaka ndio maana hutaki kukubali matokeo?
Haya twende taratibu niambie ni pepa gani hiyo waliuliza terminals za umeme then wakasisitiza ziwe in electrical use
 
Haya twende taratibu niambie ni pepa gani hiyo waliuliza terminals za umeme then wakasisitiza ziwe in electrical use
Rejea kwa mtoa mada alipoanzia maswali ameyaweka wazi usichoelewa Nini Sasa.
Unanifanya nipate stress Kama za walimu kufundisha watu vilaza.
 
Daah [emoji847][emoji847][emoji847]
 
are
area gani walitoa kwa ICT
 
me sijui ila ile mitihani naijua inavyokuwaga imesukwa kiroho mbaya kudadeki
Hahahahah wanachotaka usome pia uelewe field yako kama ni mtu wa kumeza tu unaweza ukapotea maana maswali yanafichwa na Dakika ni 40 maswali 4πŸ˜…πŸ˜… Wajinga sana hawa jamaa.
 
Kakomae mwanangu gonga sana PRAC hapo ndo mziki ulipo fatilia humu kuna nyuzi za watu wa Hizo FANI mkuu wameeleza upite wapi katika saili za UTUMISHI.
powa powa chief, ila kama unaweza nisaidia kutupia link za hizo nyuzi itakuwa mzuka sana chief ingawaje nilicheki baadhi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…