Tutawaita tu baada ya pasaka ila mjiandae kuja dar kwenye written interview kwanza
Hawa jamaa waongo sana..
Hadi watu wanasahau kama walituma maombi....
Mahakama pia miyeyusho dahIssue si uongo ila ndivyo ilivyo kuhusu kazi za serikali mara nyingi!!
Kazi niliyonayo, niliapply nikakaa mwaka na miezi miwili ndo nikapigiwa simu kwenye interview na bahati nikashinda!! Yaani nilishasahau kabisa!!
Kuna ofisi nimeingia siku kadhaa zilizopita nikakuta wapo busy wanasort barua ili zikapitiwe ndiyo watu waitwe. Nikawauliza mmlitangaza lini mbona hatuambini!!? Wakanijibu mwaka jana mwezi watisa!! Nilichoka
Madai yao bajeti, mpaka bajeti ipatikane
majina hayajatoka watu wapuuzi humu