Usaili police garduate

Ivyo ni vitu vya kawaida sana kupimwa ata JWTZ hupima ivyo!
Angalau wameanza chukua graduates maana kuna polisi huwa nakosa imani na elimu zao kwa maamuzi wanayochukua

kama ni suala la elimu, basi kamhanda utashindwa kumsema, kwani shule ipo. Cha msingi ni kuzingatia miongozo ya utumishi na usiwe na upendeleo wa siasa
 
Kila laheri wakuu kwenye usaili, lakini kumbukeni uvumilivu ndio kitu Muhimu huko. Sio baada ya miezi tusikie kunauzi humu JF kwa ajili ya waliokimbia DEPO.
 
kumbukeni kuna mazoezi mazito sana chuoni. sasa msije kuwa mnataka kuua watu. ukiwa unfit kazi ya jeshini sikushauri, utalaum watu bure

Unajua maana ya mtu kuwa na virus vinavyosababisha Ukimwi(HIV) na mgonjwa wa Ukimwi(AIDS)?
 
Nimepata taarifa kuwa watu waliokuwa wakifanyiwa usaili pale Polisi wameshindishwa njaa tangu asubuhi hadi usiku wa saa moja.

Polisi mjirekebishe iweje mnawatesa vijana wa kitanzania kiasi hicho mjirekebishe.
 
Nimepata taarifa kuwa watu waliokuwa wakifanyiwa usaili pale Polisi wameshindishwa njaa tangu asubuhi hadi usiku wa saa moja.

Polisi mjirekebishe iweje mnawatesa vijana wa kitanzania kiasi hicho mjirekebishe.

UKIOMBA KAZI YA JESHI LAZIMA UGANGAMALE!
 
uzuri walikuambia unajigharamia chakula,malazi na usafiri sa sijui unalalamika nini
 
ndio maana wakishapata kazi wanakuja kusulubisha wananchi
 
Hawajajua kwanza kama unawafaa,sasa wakugharimie chakula ili iweje?

Maeneo mengi ya usahili,hivi vitu unajitegemea mkuu
 
nawasalimu wanajamvi, je kuna yeyote mwenye update za matokeo ya usaili uliofanyika pale DIT kwa watu wa ICT?
 
Sasa unategemea wapewe mikate ya blueband, kazi ya jeshi lolote ni kugangamara.Na kushinda njaa kama hujui sasa huenda ilikuwa sehemu ya usaili
 
Nimepata taarifa kuwa watu waliokuwa wakifanyiwa usaili pale Polisi wameshindishwa njaa tangu asubuhi hadi usiku wa saa moja.

Polisi mjirekebishe iweje mnawatesa vijana wa kitanzania kiasi hicho mjirekebishe.

Hv kuna interview yoyote hata hizo za utumishi zote ambazo watu walipewa hata maji ya 200 au bac tu coz ni polisi mnawajengea hoja!? Almost matangazo yote ya interview wanatoa disclaimer kabisa ujigharamie nauli na malazi na chakula sasa unatakaje tena wakat ushaambiwa kule stori tu kula kwenu!
 
Mkuu adi hapo wewe ni disqulify kwenye huo usaili.
 
Kama sio mvumilivu huwezi kuwa polisi hasa hapa tz sasa wewe kwenye usahili tu unataka menu ya uhakika kama ofisa fulani sijui sasa kama ukiwa ofisa wa hilo jeshi kama hutaanza kuomba rushwa
 
"...nina njaa meen...nataka chipsi kuku meeen..."
 
usaili ulikamilika wiki iliyopita, mda wowote wanaweza kutangaza walipenya
 
maswali yalikuwaje mkuu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…