H.M.MUYANGO
Senior Member
- Mar 6, 2014
- 110
- 9
Naomba taarifa rasmi ama tetesi za lini watu tutaitwa kwa ajili ya usaili idara ya uhamiaji?kama mtu anayefuatilia tupeane habari jamanii matumbo joto hatujui nini hatma yetu kwenye ajira!
Naomba taarifa rasmi ama tetesi za lini watu tutaitwa kwa ajili ya usaili idara ya uhamiaji?kama mtu anayefuatilia tupeane habari jamanii matumbo joto hatujui nini hatma yetu kwenye ajira!
Hizi ajira watapewa wengi ni police kwa kuwa kabla hazijafika uraiani police walipata taarifa hasa Maafisa na wakuu wa vituo hasa wale wenye vyota 3 , 2, hizi ni taarifa za uhakika nilipouliza kwa nini? Akasema ndani ya jeshi la police kuna wasomi ambao wanafiti katika hizi kazi ambao wengi ni andergraduate waliojiunga na jeshi la police.
Sijakuelewa una maana gani...fafanua polisi wanahusika vipi hapo na ajira za uhamiaji?
Hio ni wizara Moja ambayo ni wizara ya mambo ya ndani
Hilo linajulikana...mimi nimeuliza kuhusu polisi kufanya kazi za idara ya uhamiaji inawezekana vipi...sikia kiongozi nikwambie kitu ni kweli uhamiaji,polisi,magereza,zima moto na idara zingine kama hzo zipo ndani ya wizara tajwa hapo juu.
Lakini kila idara ina utaratibu wake wa ufanyaji kazi,kazi za idara ya uhamiaji zinafanywa na maafisa uhamiaji vivyo hivyo kazi za polisi zinafanywa na polisi wenyewe...si vyema kuzungumza kitu usichokifaham kiongozi ni vizuri ukauliza and then ukuja na vitu vilivyo sahihi...otherwise your lost.
Hilo linajulikana...mimi nimeuliza kuhusu polisi kufanya kazi za idara ya uhamiaji inawezekana vipi...sikia kiongozi nikwambie kitu ni kweli uhamiaji,polisi,magereza,zima moto na idara zingine kama hzo zipo ndani ya wizara tajwa hapo juu.
Lakini kila idara ina utaratibu wake wa ufanyaji kazi,kazi za idara ya uhamiaji zinafanywa na maafisa uhamiaji vivyo hivyo kazi za polisi zinafanywa na polisi wenyewe...si vyema kuzungumza kitu usichokifaham kiongozi ni vizuri ukauliza and then ukuja na vitu vilivyo sahihi...otherwise your lost.
Hizi ajira watapewa wengi ni police kwa kuwa kabla hazijafika uraiani police walipata taarifa hasa Maafisa na wakuu wa vituo hasa wale wenye vyota 3 , 2, hizi ni taarifa za uhakika nilipouliza kwa nini? Akasema ndani ya jeshi la police kuna wasomi ambao wanafiti katika hizi kazi ambao wengi ni andergraduate waliojiunga na jeshi la police.
Nasikia tar.21/04/2014 ndiyo watatoa majina...ila kwa uhakika zaidi ngoja waje wenyewe.
Kula bata bado sana mkuu