Usahili wa mchujo tume ya ajira

Usahili wa mchujo tume ya ajira

Mwenda_Pole

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2008
Posts
281
Reaction score
67
Waheshimiwa naomba kuuliza, hivi inawezekana mtu aliyefanya vizuri sana kwenye mtihani wa mchujo baadae akaja kukosa kazi na akapata let say mtu aliyekua wa 3 au wa 4 kwa maksi kwenye mtihani wa mchujo?
 
Peleka kwanza jukwaa la kazi.
 
waheshimiwa naomba kuuliza, hivi inawezekana mtu aliyefanya vizuri sana kwenye mtihani wa mchujo baadae akaja kukosa kazi na akapata let say mtu aliyekua wa 3 au wa 4 kwa maksi kwenye mtihani wa mchujo?

Kweli kabisa inawezekana maana kwenye oral confidence zero.
 
waheshimiwa naomba kuuliza, hivi inawezekana mtu aliyefanya vizuri sana kwenye mtihani wa mchujo baadae akaja kukosa kazi na akapata let say mtu aliyekua wa 3 au wa 4 kwa maksi kwenye mtihani wa mchujo?

Inawezekana kabisa mkuu mm nimeshawahi kua wa kwanza kwenye written,, hila kazi akapata aliyekua wa pili,,
 
mfano hai hapo takukuru watu wametifua maksi za juu nkashaanga kwenye oral aliyeongoza alikuwa lowest maksi ya written huwa siamini written is the best approach ya kuajiri
 
nakumbuka mwaka 2012 tulipiga usahili secretariat ya ajira tena senior post niloongoza written,oral nilikamuaa maswali yote ,mwishoni wakaniambia eti waliniita kimakosa maana experince yangu ilikuwa below 10 years!
 
Waheshimiwa naomba kuuliza, hivi inawezekana mtu aliyefanya vizuri sana kwenye mtihani wa mchujo baadae akaja kukosa kazi na akapata let say mtu aliyekua wa 3 au wa 4 kwa maksi kwenye mtihani wa mchujo?

mzee wa mchojo inaelekea umezoea kuchojolewa eeee.......
 
jamani wadau iv interview ya ppra ya mahojiano ni lin kuna ndugu yangu apa ana utata anashindwa kuelewa ni kesho au mpk watakapotaarfiwa
 
Back
Top Bottom