USAHIHI: Hakuna Mwana-CHADEMA aliyehamia CCM Mbeya

USAHIHI: Hakuna Mwana-CHADEMA aliyehamia CCM Mbeya

CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA) MKOA WA MBEYA

TAARIFA KWA UMA
kutokana na habari iliyo ripotiwa na gazeti la majira toleo la leo septemba 22 lenye kichwa cha habari "Ccm Mbeya yavuna vijana 79" hii ni taarifa ya uzushi haina ukweli wowote ,inalenga kuwa hadaa wananchi iliwaamini kuwa chama kinayumba.

Hakuna kijana hata mmoja wa chadema aliyehamia Ccm aidha ofisi yangu imesikitishwa na kitendo cha gazeti la majira kuandika taarifa ambazo wanatambua wazi kuwa siyo za kweli bali ni mashinikizo ya watu wa flani katika harakati za kijaribu kupambana na chadema.

Wito wangu kwa waandishi wa habari nawasihi wafanyekazi kwa kuzingatia maadili ya taaluma zao na kuacha kuacha kutumika na watu wachache wenye maslai yao binafsi kitu ambacho ni hatari kwa taifa letu.

Pia nawasihi wanachadema wote ndani na nje ya mkoa wa mbeya tuwe makini na watu ambao hawana mapenzi mema na chama chetu,tuendelee kufanyakazi ya ujenzi wa chama kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu 2015.

Imetolewa leo septemba 22,2014
na,
George Tito

Mwenyekiti wa Bavicha
Mkoa wa Mbeya.

Naweza pata CV ya huyu Mwenyekiti wa bavicha Mkoa wa Mbeya
 
hakuna kijana mwenye akili timamu akajiunda na ccm, kwanza ccm hakuna vijana, kama yupo basi mzaz wake ni kiongoz ccm, au ni mchimia tumbo wa ccm
 
CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA) MKOA WA MBEYA

TAARIFA KWA UMA
kutokana na habari iliyo ripotiwa na gazeti la majira toleo la leo septemba 22 lenye kichwa cha habari "Ccm Mbeya yavuna vijana 79" hii ni taarifa ya uzushi haina ukweli wowote ,inalenga kuwa hadaa wananchi iliwaamini kuwa chama kinayumba.

Hakuna kijana hata mmoja wa chadema aliyehamia Ccm aidha ofisi yangu imesikitishwa na kitendo cha gazeti la majira kuandika taarifa ambazo wanatambua wazi kuwa siyo za kweli bali ni mashinikizo ya watu wa flani katika harakati za kijaribu kupambana na chadema.

Wito wangu kwa waandishi wa habari nawasihi wafanyekazi kwa kuzingatia maadili ya taaluma zao na kuacha kuacha kutumika na watu wachache wenye maslai yao binafsi kitu ambacho ni hatari kwa taifa letu.

Pia nawasihi wanachadema wote ndani na nje ya mkoa wa mbeya tuwe makini na watu ambao hawana mapenzi mema na chama chetu,tuendelee kufanyakazi ya ujenzi wa chama kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu 2015.

Imetolewa leo septemba 22,2014
na,
George Tito

Mwenyekiti wa Bavicha
Mkoa wa Mbeya.

umempigia simu akutumie kataarifa cha kijinga kwenye inbox yako cha kukanusha anguko kuu...mmeliwa
 
hakuna kijana mwenye akili timamu akajiunda na ccm, kwanza ccm hakuna vijana, kama yupo basi mzaz wake ni kiongoz ccm, au ni mchimia tumbo wa ccm

peleka uchaga huko wewee..unaandika andika pumba jukwaani...toka huko migombani ungana na wananchi kujenga nchi achana na kitochi, kitakubabua mdomo
 
niko hapa mwanjelwa kuna vijana zaidi ya 100 wametoka chadema na kuhamia ccm

chadema ni wanafiki nimehakikisha mwenyewe na watu nawafahamu wamehama kweli au mnantaka tuwe tunaweka na majina na kadi zao mpya
 
unataka jibu gani sasa kwani juliana shonza siyo wa mbeya.

Hata mkanushe namna gani vijana wa mbeya wameelimika wanajua viongozi wa chadema wanawatumia.makundi kwa makundi wanarudi ccm habari ndio hiyo .
 
CCM imefikia hatua mbaya sana ya Kujitekenya kisha kucheka wenyewe!!
 
Kwa Mbeya ninayoifahamu mimi,sidhani kama hilo ni rahisi kihivyo.
Huo mchezo wa kuigiza, majibu yake ni mwakani.
 
Hata mkanushe namna gani vijana wa mbeya wameelimika wanajua viongozi wa chadema wanawatumia.makundi kwa makundi wanarudi ccm habari ndio hiyo .

Wana ccm mtasubiri sana kama ndoto zenu ndio hizo kwa mbeya!
 
Safi sana kamanda kwa kuweka mambo sawa. Maccm yanahangaika sana kujaribu kujiokoa. CHADEMA ni imara mara milioni elfu nyingi
 
CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA) MKOA WA MBEYA

TAARIFA KWA UMA
kutokana na habari iliyo ripotiwa na gazeti la majira toleo la leo septemba 22 lenye kichwa cha habari "Ccm Mbeya yavuna vijana 79" hii ni taarifa ya uzushi haina ukweli wowote ,inalenga kuwa hadaa wananchi iliwaamini kuwa chama kinayumba.

Hakuna kijana hata mmoja wa chadema aliyehamia Ccm aidha ofisi yangu imesikitishwa na kitendo cha gazeti la majira kuandika taarifa ambazo wanatambua wazi kuwa siyo za kweli bali ni mashinikizo ya watu wa flani katika harakati za kijaribu kupambana na chadema.

Wito wangu kwa waandishi wa habari nawasihi wafanyekazi kwa kuzingatia maadili ya taaluma zao na kuacha kuacha kutumika na watu wachache wenye maslai yao binafsi kitu ambacho ni hatari kwa taifa letu.

Pia nawasihi wanachadema wote ndani na nje ya mkoa wa mbeya tuwe makini na watu ambao hawana mapenzi mema na chama chetu,tuendelee kufanyakazi ya ujenzi wa chama kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu 2015.

Imetolewa leo septemba 22,2014
na,
George Tito

Mwenyekiti wa Bavicha
Mkoa wa Mbeya.
Molemo naweza pata CV ya huyu Mwenyekiti
 
Last edited by a moderator:
wanachama wengi tu wa Chadema wamehama ushahidi upo
 
Back
Top Bottom