Waliojiunga na CCM tulijua ni wanaccm wenyewe........ Akili kumkichwa
chadema mko serious mmejipanga kuchukua nchi
Waliojiunga na CCM tulijua ni wanaccm wenyewe........ Akili kumkichwa
Tuko sawasawa kuliko ccm na mamluki wao wanavyo fikiri. Ndio maana unaona wengi baada ya kushuhudia mkutano mkuu na kilicho jiri pale mlimani city wamekuwa wapole.
Tunawakanyagia chini..
Tuko sawasawa kuliko ccm na mamluki wao wanavyo fikiri. Ndio maana unaona wengi baada ya kushuhudia mkutano mkuu na kilicho jiri pale mlimani city wamekuwa wapole.
Tunawakanyagia chini..
niko hapa mwanjelwa kuna vijana zaidi ya 100 wametoka chadema na kuhamia ccm
Huko mbeya geita umehama lini au ummechoka kumpakazia mawazo kamanda kuwa kabaka, geita umetoka lini ??
niko hapa mwanjelwa kuna vijana zaidi ya 100 wametoka chadema na kuhamia ccm
Ni gendaeka tu, anayee yaamini magazeti haya, majira,habari leo,uhuru, mzalendo, na hoja,ni bora kusikiliza mizaa ya wemaaa na daamondy.