CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA) MKOA WA MBEYA
TAARIFA KWA UMA
kutokana na habari iliyo ripotiwa na gazeti la majira toleo la leo septemba 22 lenye kichwa cha habari "Ccm Mbeya yavuna vijana 79" hii ni taarifa ya uzushi haina ukweli wowote ,inalenga kuwa hadaa wananchi iliwaamini kuwa chama kinayumba.
Hakuna kijana hata mmoja wa chadema aliyehamia Ccm aidha ofisi yangu imesikitishwa na kitendo cha gazeti la majira kuandika taarifa ambazo wanatambua wazi kuwa siyo za kweli bali ni mashinikizo ya watu wa flani katika harakati za kijaribu kupambana na chadema.
Wito wangu kwa waandishi wa habari nawasihi wafanyekazi kwa kuzingatia maadili ya taaluma zao na kuacha kuacha kutumika na watu wachache wenye maslai yao binafsi kitu ambacho ni hatari kwa taifa letu.
Pia nawasihi wanachadema wote ndani na nje ya mkoa wa mbeya tuwe makini na watu ambao hawana mapenzi mema na chama chetu,tuendelee kufanyakazi ya ujenzi wa chama kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu 2015.
Imetolewa leo septemba 22,2014
na,
George Tito
Mwenyekiti wa Bavicha
Mkoa wa Mbeya.
TAARIFA KWA UMA
kutokana na habari iliyo ripotiwa na gazeti la majira toleo la leo septemba 22 lenye kichwa cha habari "Ccm Mbeya yavuna vijana 79" hii ni taarifa ya uzushi haina ukweli wowote ,inalenga kuwa hadaa wananchi iliwaamini kuwa chama kinayumba.
Hakuna kijana hata mmoja wa chadema aliyehamia Ccm aidha ofisi yangu imesikitishwa na kitendo cha gazeti la majira kuandika taarifa ambazo wanatambua wazi kuwa siyo za kweli bali ni mashinikizo ya watu wa flani katika harakati za kijaribu kupambana na chadema.
Wito wangu kwa waandishi wa habari nawasihi wafanyekazi kwa kuzingatia maadili ya taaluma zao na kuacha kuacha kutumika na watu wachache wenye maslai yao binafsi kitu ambacho ni hatari kwa taifa letu.
Pia nawasihi wanachadema wote ndani na nje ya mkoa wa mbeya tuwe makini na watu ambao hawana mapenzi mema na chama chetu,tuendelee kufanyakazi ya ujenzi wa chama kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu 2015.
Imetolewa leo septemba 22,2014
na,
George Tito
Mwenyekiti wa Bavicha
Mkoa wa Mbeya.