Hivi hiyo speed 80 unayosema kwa basi unaijua au? Usiwe umekaa kwenye siti unaendeshwa unaona ni speed ndogo, dereva ndiyo anajua timing zote za kukufikisha unapofika, na kwa kukuongezea hiyo speed 80 unayoiona mchana usiku inakuwa mara 2 yake kutokana na nature, (madereva watanielewa zaidi) . Sababu usiku macho yanaona mwisho wa taa zako tu sio zaidi ya hapo.