Usafiri wa usiku

80km/h ya basi ni sawa na 120 km/h ya gari ndogo.
Ha ha ha tycoon nineamini kupata pesa na mali ni tofauti na kupata elimu. Ungeingia darasa la fizikia usinge andika hiki ukichoandika. Ushauri usiwasikilize makenika walio kimbia shule kwenda kutumwa spana. Kumbuka huwezi kutoa usichokua nachacho
 
Mlikuwa mnamsifia lugola pambanen sasa
 
Zikishaanza kusafiri gari nyingi usiku inamaana njia itakua bize muda wote kwaio hata watekaji hawataweza
 

Mkuu kama niko sahihi siku hizi kuna kitu kinaitwa king’amuzi, so iwe mchana au usiku ukizidisha speed ya 80 KM/hr unakutana na fine /kifungo ila kwa Basi za abiria.
 
Nimesafiri sana usiku, ila kwa sasa nimekuwa mwoga sana, na sijui kwanini naogopa sana kusafiri usiku
 
80km/h ya basi ni sawa na 120 km/h ya gari ndogo.

Mkuu acha kuwa na akili kama za ccm, unaeleww maana ka KM/hr? Nakupa shule ndogo tu ni kwamba km/hr ni kwa gari zote(japo hii siyo tafrisi nzuri) sema utofauti uko kwa stability ya gari. Basi ikifika 120 KM/hr hahahahah lazima upate kitete lakini kwa gari ndogo ni kawaida
 
Malizia kisa Mzee Baba...inaelekea moyo ulidundia kwenye kioo cha gari cha mbele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…