kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,226
- 9,489
Mkuu malizia mkuuMiaka ya nyuma kidogo nilianza safari saa sita usiku na Cresta Gx 100 nikitoka Dar kuelekea Arusha...nilipokaribia Wami nikakuta Fuso zinasubiriana kwa ajili ya usalama, nikawona waoga tu hivyo nikaendelea na safari.
Kufika Wami katikati ile kucheck njia yote imefungwa na yale matenga ya nyanya ya mabanzi! Wakati nafikiria cha kufanya ghafla nikaona watu kama ishirini wanakuja na mapanga huku wamebeba tochi na silala mbali mbali wakisema "simama wewee" dah! Ilikuwa noma sana.
Mkuu siyo kweli.80km/h ya basi ni sawa na 120 km/h ya gari ndogo.
Mkuu malizia mkuu
Miaka ya nyuma kidogo nilianza safari saa sita usiku na Cresta Gx 100 nikitoka Dar kuelekea Arusha...nilipokaribia Wami nikakuta Fuso zinasubiriana kwa ajili ya usalama, nikawona waoga tu hivyo nikaendelea na safari.
Kufika Wami katikati ile kucheck njia yote imefungwa na yale matenga ya nyanya ya mabanzi! Wakati nafikiria cha kufanya ghafla nikaona watu kama ishirini wanakuja na mapanga huku wamebeba tochi na silala mbali mbali wakisema "simama wewee" dah! Ilikuwa noma sana.
Mbona unazingua mkuu,mbona hujamalizia ilikuaje
Kuwa na adabu kwa mkuu wakoItakua alisimamishwa na akapewa option 2 tu KUFA au KUBAKWA.....na mpaka anaandika huu uzi sasa hivi nadhani tunajua kilichomtokea..Wewe Ni Shujaaa..
HahaItakua alisimamishwa na akapewa option 2 tu KUFA au KUBAKWA.....na mpaka anaandika huu uzi sasa hivi nadhani tunajua kilichomtokea..Wewe Ni Shujaaa..
Kuwa na adabu kwa mkuu wako
Ukatumbukiza gari mtonMiaka ya nyuma kidogo nilianza safari saa sita usiku na Cresta Gx 100 nikitoka Dar kuelekea Arusha...nilipokaribia Wami nikakuta Fuso zinasubiriana kwa ajili ya usalama, nikawona waoga tu hivyo nikaendelea na safari.
Kufika Wami katikati ile kucheck njia yote imefungwa na yale matenga ya nyanya ya mabanzi! Wakati nafikiria cha kufanya ghafla nikaona watu kama ishirini wanakuja na mapanga huku wamebeba tochi na silala mbali mbali wakisema "simama wewee" dah! Ilikuwa noma sana.
Asante kwa ushauri mkuu.Napenda kushare nanyi jambo moja ambalo ninauzoefu nalo sana, ndugu zangu wenye magari madogo hasa private kwa sasa epukeni safari za usiku kutokana na mabasi kuruhusiwa kutembea masaa 24.
Kutakusaidia kuepukana na ajali zisizo za lazima. Iwapo ukikutana na basi akikuletea upande wako kidogo tu ni rahisi kujiingiza uso kwa uso au kwenda nje mazima, sababu ni vigumu kuchagua pa kupita kwa ghafla maana macho yako yanaishia mwisho wa taa zako tu.
Ninauzoefu wa barabarani kwa magari yote (mabasi, malori, gari dogo) zote hizi nimeendesha kwa miaka mingi ndani na nje ya nchi. Hivyo nimeona nitoe ushauri kidogo kwa wenzangu tunaopenda safari za usiku.
Sawa Mkuu..ile GX 100 bado ipo?
Ukiona manyoa ujue kaliwa,marinda kwishneiItakua alisimamishwa na akapewa option 2 tu KUFA au KUBAKWA.....na mpaka anaandika huu uzi sasa hivi nadhani tunajua kilichomtokea..Wewe Ni Shujaaa..
HALAFUUUUU!!!!!! Ikawaje?? Ulikuwa wakati mkubwa mmoja akiwa madarakani na mdogo mtu akitafuta kwa bidii usiku. Mbona siku hizi njia saafi tu. Acha woga komaa tu. Hata mnifanyeje, mchana sisafiri. Hizo KM 50 utafika lini Geita from AR??Miaka ya nyuma kidogo nilianza safari saa sita usiku na Cresta Gx 100 nikitoka Dar kuelekea Arusha...nilipokaribia Wami nikakuta Fuso zinasubiriana kwa ajili ya usalama, nikawona waoga tu hivyo nikaendelea na safari.
Kufika Wami katikati ile kucheck njia yote imefungwa na yale matenga ya nyanya ya mabanzi! Wakati nafikiria cha kufanya ghafla nikaona watu kama ishirini wanakuja na mapanga huku wamebeba tochi na silala mbali mbali wakisema "simama wewee" dah! Ilikuwa noma sana.
...kutupia jicho upande wa pili nikaona gari ndogo imeanguka (nadhani walijaribu kugeuza kwa ghafla ili kuepuka balaa la jamaa) na walionusurika wakichezea mateso huku wametapakaa damu! Hawa walinipa ujasiri na kujiona nipo karibu na kifo hivyo bora nife kiume kuliko kunyanyua mikono juu inaweza isisaidie vile vile...nilifanya kama napunguza mwendo kuwapumbaza wale wanaokuja na silaha na kisha nikaikanyagia gari na kuyapiga kwa pembeni yale matenga nikayumba na kurudi barabarani na kuondoka kwa mwendo wa roho mkononi.Mkuu malizia mkuu
Ukiona manyoa ujue kaliwa,marinda kwishnei