KERO Responded Usafiri wa Mwendokasi umekuwa kero, afadhali ya Daladala!

KERO Responded Usafiri wa Mwendokasi umekuwa kero, afadhali ya Daladala!

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

aise

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2018
Posts
7,435
Reaction score
20,929
Wakati basi za mwendokasi zinaingia Dar es salaam tulijua italeta ahueni kwenye swala la usafiri wa Umma,
lakini yameleta mateso afadhali ya Daladala mara mia!
Hivi hii inatokana na nini?
Uhaba wa mabasi?
Ratiba za mabasi zisizo tabirika?
Au shida ni nini?
1753017252932.jpg


Pia soma ~ Albert Chalamila: Mabasi 99 yataingia Agosti 15, mengine 200 yataingia Oktoba 1, 2025
 
Back
Top Bottom