Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 13,337
- 21,210
Wewe uko wapi?Nahitaji kufika dodoma kutokea Dar nauliza bus ni mpaka nikapandie MBEZI ama kipo kituo kingine? Na muda wa kuondoka ni ule ule alfajir au hata mchana naweza PATA gar?
Shabiby , ABC , KimbinykoNahitaji kufika dodoma kutokea Dar nauliza bus ni mpaka nikapandie MBEZI ama kipo kituo kingine? Na muda wa kuondoka ni ule ule alfajir au hata mchana naweza PATA gar?
Urafiki na Mbezi ni Main! Mara ya mwisho naenda Dodoma nilipndoka saa 4! Nachokua mwisho ilikuwa saa 6 mchana, ila ni kama miaka 4 imepita.Nahitaji kufika dodoma kutokea Dar nauliza bus ni mpaka nikapandie MBEZI ama kipo kituo kingine? Na muda wa kuondoka ni ule ule alfajir au hata mchana naweza PATA gar?
Natokea Zanzibar nataka nikifika niunganishe safarWewe uko wapi?
Gari za kuja Dom mpaka mchana unazipata vyema tu, kuhusu vituo hapo watakusaidia zaidi wajumbe wenyeji..!!Natokea Zanzibar nataka nikifika niunganishe safar
Nauli kiasi Gani mkuu na yanaondoka muda gani?Shabiby , ABC , Kimbinyko
Ok nauli ikojeMchana pia unapata gari
Nauli sina uhakika, wapigie ili upate uhakikaOk nauli ikoje
Mawasiliano mkuu.Nauli sina uhakika, wapigie ili upate uhakika
By December ilikuwa 25K, kwa sasa sina hakika ila haizidi 30K..!!Nauli sina uhakika, wapigie ili upate uhakika
Nauli ilikuwa kiasi Gani mkuu?Urafiki na Mbezi ni Main! Mara ya mwisho naenda Dodoma nilipndoka saa 4! Nachokua mwisho ilikuwa saa 6 mchana, ila ni kama miaka 4 imepita.
Asante sana mkuu unarikiweBy December ilikuwa 25K, kwa sasa sina hakika ila haizidi 30K..!!
Chat na shabiby kwa namba hii 0754 953806Mawasiliano mkuu.
Kati ya 22,000 mpaka 25,000Nauli ilikuwa kiasi Gani mkuu?
Yeah haiwezi zaidi 30k, na hyo 30k labda luxury BMBy December ilikuwa 25K, kwa sasa sina hakika ila haizidi 30K..!!
Kama una smartphone kila kitu ni rahisiMawasiliano mkuu.