Usafiri Arusha

Usafiri Arusha

SIMEON KATATANAMA

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2013
Posts
479
Reaction score
277
Poleni kwa majukumu wadau.
Naomba kujua kampuni ambayo inatoa usafiri wa kukodi kwa magari ya abiria hasa coaster kwa mkataba kwa hapa Arusha na ofisi zao zilipo.

Natanguliza shukrani.
 
Hebu mtafute Senye wa economy class.. nimepoteza namba zake.. nenda tu stand kuu hapo arusha utampata.
 
Back
Top Bottom