USA wanahaha: North Korea may launch ICBM on Saturday, South Korean president warns

Emc2

JF-Expert Member
Sep 26, 2011
16,808
16,836
Annael, hii tarifa siyo nzuri kwa watu wa U.S. mmoja wapo Ze kokuyo Wataalamu wana kadiria muda ambao vifurushi vina weza kuwafikia wenye zawadi zao pia wana sema hiyo mizigo kunauwezekano wa kuiona kama wanavyo ona vimbunga ila uwezo wa kuizuwia hawataweza kama ambavyo hawawezi kuzuwia kupokea zawadi zao tofauti kubwa ya kimbunga na hii mizogo kimbunga kinakupa mda wa kuhamisha watu ila kwa kifurushi cha kim hawataweza kuamisha watu kim hakupi Air time !!
muda wa vifurushi kufika ni huu hapo
American allies around the Korean Peninsula will have an even shorter window, should leader Kim Jong Un decide to attack his neighbors in the South Pacific.

People living in Seoul would essentially have zero to 6 minutes — from the moment a missile is launched to the time it hits the target — to take cover in the event of a strike, Schiller and Wright said.

Those in Japan will have a little more time to prepare, but not much. Schiller and Wright estimate that it would take 10 to 11 minutes before a missile from the North reached Tokyo.

Then there’s the added risk of Kim using chemical or biological warheads, while also unleashing a “swarm” attack on South Korea and Japan — using medium-range Scud ER missiles, which were tested back in March.
 
Annael, hii tarifa siyo nzuri kwa watu wa U.S. mmoja wapo Ze kokuyo Wataalamu wana kadiria muda ambao vifurushi vina weza kuwafikia wenye zawadi zao pia wana sema hiyo mizigo kunauwezekano wa kuiona kama wanavyo ona vimbunga ila uwezo wa kuizuwia hawataweza kama ambavyo hawawezi kuzuwia kupokea zawadi zao tofauti kubwa ya kimbunga na hii mizogo kimbunga kinakupa mda wa kuhamisha watu ila kwa kifurushi cha kim hawataweza kuamisha watu kim hakupi Air time !!
muda wa vifurushi kufika ni huu hapo
American allies around the Korean Peninsula will have an even shorter window, should leader Kim Jong Un decide to attack his neighbors in the South Pacific.

People living in Seoul would essentially have zero to 6 minutes — from the moment a missile is launched to the time it hits the target — to take cover in the event of a strike, Schiller and Wright said.

Those in Japan will have a little more time to prepare, but not much. Schiller and Wright estimate that it would take 10 to 11 minutes before a missile from the North reached Tokyo.

Then there’s the added risk of Kim using chemical or biological warheads, while also unleashing a “swarm” attack on South Korea and Japan — using medium-range Scud ER missiles, which were tested back in March.
USA atulie kwake aache mikwara ya mbuzi. Sasa hivi wameanza kuchanganyikiwa kabla hata ya jamaa hajafanya chochote.
 
Unayajua madhara ya kutokuwa na kiranja?
Unajua madhara yakutokuwa na kichwa cha familia?
Mkuu..ushabiki mwingine ni wa kijinga tu...hivi hawajui kuwa USA wanaweza kuifanya North Korea kuwa flat kabisaa..Hizo ICBM mnazozisema kwanza mpk hivi sasa kuna mashaka kama zinauwezo wa kubeba nuclear warhead! Maana hizo za majaribio ni ganda tu je ashajaribu watu tukaona missile inanyanyuka na kichwa cha nuke!Acheni hizo wakuu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu..ushabiki mwingine ni wa kijinga tu...hivi hawajui kuwa USA wanaweza kuifanya North Korea kuwa flat kabisaa..Hizo ICBM mnazozisema kwanza mpk hivi sasa kuna mashaka kama zinauwezo wa kubeba nuclear warhead! Maana hizo za majaribio ni ganda tu je ashajaribu watu tukaona missile inanyanyuka na kichwa cha nuke!Acheni hizo wakuu!

Sent using Jamii Forums mobile app
So unataka kutuambia nini?
Ebu tuachie kiduku wetu ebohhh!
 
Mkuu..ushabiki mwingine ni wa kijinga tu...hivi hawajui kuwa USA wanaweza kuifanya North Korea kuwa flat kabisaa..Hizo ICBM mnazozisema kwanza mpk hivi sasa kuna mashaka kama zinauwezo wa kubeba nuclear warhead! Maana hizo za majaribio ni ganda tu je ashajaribu watu tukaona missile inanyanyuka na kichwa cha nuke!Acheni hizo wakuu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Naona ushasahau kwamba nk kuna mwaka walijifanya wanarusha sattelite kumbe walirusha bomu la nyuklia huko angani

Uwezo wa kurusha nuklia wanao coz walishawah jarbu na ikaenda kulipuka huko kwenye anga la juu
 
Mkuu..ushabiki mwingine ni wa kijinga tu...hivi hawajui kuwa USA wanaweza kuifanya North Korea kuwa flat kabisaa..Hizo ICBM mnazozisema kwanza mpk hivi sasa kuna mashaka kama zinauwezo wa kubeba nuclear warhead! Maana hizo za majaribio ni ganda tu je ashajaribu watu tukaona missile inanyanyuka na kichwa cha nuke!Acheni hizo wakuu!

Sent using Jamii Forums mobile app
kwa heshima tuna kuruka kimya usirudie kuita watu wajinga ficha upumbavu wako usitake tuka kumwagia ugali na mboga vyote kwa pamoja

tutakufundisha kama hukufundishwa kuwa na heshima kwa wakubwa zako
 
So unataka kutuambia nini?
Ebu tuachie kiduku wetu ebohhh!
Kiduku wenu ni boya..hata swahiba wake mkuu China amekuwa irritated kwelikweli!Trump anasema vitu vipya na vizuri (vyakijeshi)vinazidi kutengenezwa..anamsubiri kiduku ajichanganye tu atume ka missile kake Guam..Japan au South Korea..atajuta kunyoa kiduku!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona ushasahau kwamba nk kuna mwaka walijifanya wanarusha sattelite kumbe walirusha bomu la nyuklia huko angani

Uwezo wa kurusha nuklia wanao coz walishawah jarbu na ikaenda kulipuka huko kwenye anga la juu
Mkuu sijasahau..ila nataka tu kukuhakikishia lile lilikuwa ni kombora.. missile tu ya kawaida...kama ingekuwa ni kichwa cha nuke ingetokea electromagnetic pulse (emp)...madhara yake ni kuwa kwa vile ililipuka kati ya km 200 na 300 kwenye anga hilo..huku chini vifaa vyote vya kielectronic vingezima hadi grid za umeme...ikiwa ni pamoja na macomputor na vifaa vyote sophisticated unavyovijua wewe!NK bado hawana uwezo huo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom