Nilikuwa nafuatilia mada za JF kuhusu Mapigano ya ukanda wa GAZA kati ya Israel na wanyonge waPalestina ambao wameishi kwa muda mrefu tangu mwaka 1947 katika taabu kubwa. mwaka 2011 nilipata kusoma kitabu kimoja, mwandishi alidai kuwa hakuna empire hata moja duniani ambayo ilikuwa empire kwa zaidi ya mara moja. mfano ROMAN, FRENCH, GERMAN, SPAIN, EGYPT, BRITAIN, SOVIET (RUSSIA) N.K. kila empire ilikuwa na awamu moja tu na ilipoanguka haikurudi tena.
Ni kawaida ya empire kumwaga damu kwa kila anaeonenaka kwake ni mpinzani, jeuri au anapigania haki yake. baada ya soviet kuanguka mwanzoni miaka ya 1990's. DOLA KUU DUNIANI (EMPIRE) NI USA ambaye ana mshirika wake ISRAELI anamsapoti kwakila jambo. watu hawa ni wamoja wanapanga na wanaamua. kinachotokea Palestine ni Muendeleo wa historia kwani USA ndiye mwenye DOLA, hivyo akionekana mtu yeyote katoa kauli ambayo ni kunyume na mshirika wake lazima damu yake imwagike bila kujali ni wingi wa kiasi gani.
Ila historia hiyo itapita kwani mwandishi alisema utakapoona uchumu wa nchi yenye Dola kuu umeanza kuteteleka ujue ndio mwanzo wa DOLA HIYO KUANGUKA NA DOLA NYINGINE KUIPUKA. KWENYE KILE KITABU ALIITABIRIA CHINA KUIBUKA KUWA DOLA KUU DUNIANI BAADA YA MIAKA 20 KUANZIA SASA. PIA ALIONGEZA KUSEMA CHINA NDIYO ITAKAYOKUWA EMPIRE KWA MUDA MREFU ZAIDI KULIKO EMPIRE YEYOTE ILIYOPITA. HAYO NI MAWAZO YAKE HILA CHA MSINGI NI KUWA WAPALESTINA DAMU YAO ITAMWAGIKA NA IPO SIKU DAMU HIYO ITALIPWA KWANI HAWAWEZI KUUWAWA WOTE ILA WAISRAELI WASIJE KUSAHAU. KWA MFANO LEO AKIJA MTU ALIYEPIGANA NA KUUWAWA KATIKA VITA VYA MAJIMAJI, HAKIAMBIWA DOLA YA UJERUMANI IMEANGUKA KITAMBO, JE ATAAMINI?.
NI MATTER OF TIME, NAWAPA POLE PALESTINE YATAPITA TU NI HISTORIA YENYE KAWAIDA YA KUJIRUDIA. MANDELA ALISEMA ' WE KNOW TOO WELL THAT OUR FREEDOM IS INCOMPLETE WITHOUT THE FREEDOM OF THE PALESTINANS"
Ni kawaida ya empire kumwaga damu kwa kila anaeonenaka kwake ni mpinzani, jeuri au anapigania haki yake. baada ya soviet kuanguka mwanzoni miaka ya 1990's. DOLA KUU DUNIANI (EMPIRE) NI USA ambaye ana mshirika wake ISRAELI anamsapoti kwakila jambo. watu hawa ni wamoja wanapanga na wanaamua. kinachotokea Palestine ni Muendeleo wa historia kwani USA ndiye mwenye DOLA, hivyo akionekana mtu yeyote katoa kauli ambayo ni kunyume na mshirika wake lazima damu yake imwagike bila kujali ni wingi wa kiasi gani.
Ila historia hiyo itapita kwani mwandishi alisema utakapoona uchumu wa nchi yenye Dola kuu umeanza kuteteleka ujue ndio mwanzo wa DOLA HIYO KUANGUKA NA DOLA NYINGINE KUIPUKA. KWENYE KILE KITABU ALIITABIRIA CHINA KUIBUKA KUWA DOLA KUU DUNIANI BAADA YA MIAKA 20 KUANZIA SASA. PIA ALIONGEZA KUSEMA CHINA NDIYO ITAKAYOKUWA EMPIRE KWA MUDA MREFU ZAIDI KULIKO EMPIRE YEYOTE ILIYOPITA. HAYO NI MAWAZO YAKE HILA CHA MSINGI NI KUWA WAPALESTINA DAMU YAO ITAMWAGIKA NA IPO SIKU DAMU HIYO ITALIPWA KWANI HAWAWEZI KUUWAWA WOTE ILA WAISRAELI WASIJE KUSAHAU. KWA MFANO LEO AKIJA MTU ALIYEPIGANA NA KUUWAWA KATIKA VITA VYA MAJIMAJI, HAKIAMBIWA DOLA YA UJERUMANI IMEANGUKA KITAMBO, JE ATAAMINI?.
NI MATTER OF TIME, NAWAPA POLE PALESTINE YATAPITA TU NI HISTORIA YENYE KAWAIDA YA KUJIRUDIA. MANDELA ALISEMA ' WE KNOW TOO WELL THAT OUR FREEDOM IS INCOMPLETE WITHOUT THE FREEDOM OF THE PALESTINANS"