mchambawima1
JF-Expert Member
- Oct 16, 2014
- 2,487
- 738
OMG! yani we MBONERAKURE ndio kanjanja kweli hadi unatia uvivu kukuongelesha, lol! kibinadamu Kuuwa ni kuuwa tu hata awe ndugu yako au adui yako! hao "wahutu wasomi" wako maofisini vyuma wanajenga nchi yao!Hakuna binadamu chini ya jua hili anaemzidi ukatili paka. Huyo Bi. Clinton anauwa RAIA wa mataifa mengine lakini paka anaua RAIA wake mwenyewe, mbaya zaidi anaua zaidi na zaidi wahutu tena wa kisomi ndio wanaowindwa zaidi. Paka akili zake na za shetani ni sawasawa.