EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,709
- 35,712
Vikosi vya Urusi vimeshambulia zaidi ya miji 40 katika maeneo ya mashariki huko Donbas na Luhansk, jeshi la Ukraine lilisema.
"Wavamizi walifyatua risasi katika miji zaidi ya 40 katika mkoa wa Donetsk na Luhansk, na kuharibu maeneo 47 ya raia, pamoja na nyumba 38 na shule.
Kutokana na shambulio hilo raia watano walikufa na 12 walijeruhiwa," Kikosi Kazi cha Pamoja cha Ukraine kilisema
Katika mwezi uliopita, Urusi imefunza mwelekeo wake wa kuchukua udhibiti kamili wa eneo la Donbas.
Urusi imetuma maelfu ya wanajeshi katika eneo hilo, na kushambulia kutoka pande tatu katika jaribio la kuzingira vikosi vya Ukraine vinavyoshikilia katika miji ya Severodonetsk na Lysychansk.
Kuanguka kwao kungeacha jimbo lote la Luhansk chini ya udhibiti wa Urusi, lengo kuu la vita vya Kremlin.
Siku ya Jumapili, Gavana wa Luhansk Serhiy Gaidai alikuwa ameishutumu Urusi kwa kutumia "mbinu ya dunia iliyoungua" katika juhudi zake za kukamata Severodonetsk.
Bw Gaidai alionya kuwa vikosi vya Urusi vimeharibu daraja lote isipokuwa moja katika mto Donets na kusema kuwa jiji hilo liko katika hatari ya kukatwa.
================++
Karibuni katika Dira ya Dunia[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
"Wavamizi walifyatua risasi katika miji zaidi ya 40 katika mkoa wa Donetsk na Luhansk, na kuharibu maeneo 47 ya raia, pamoja na nyumba 38 na shule.
Kutokana na shambulio hilo raia watano walikufa na 12 walijeruhiwa," Kikosi Kazi cha Pamoja cha Ukraine kilisema
Katika mwezi uliopita, Urusi imefunza mwelekeo wake wa kuchukua udhibiti kamili wa eneo la Donbas.
Urusi imetuma maelfu ya wanajeshi katika eneo hilo, na kushambulia kutoka pande tatu katika jaribio la kuzingira vikosi vya Ukraine vinavyoshikilia katika miji ya Severodonetsk na Lysychansk.
Kuanguka kwao kungeacha jimbo lote la Luhansk chini ya udhibiti wa Urusi, lengo kuu la vita vya Kremlin.
Siku ya Jumapili, Gavana wa Luhansk Serhiy Gaidai alikuwa ameishutumu Urusi kwa kutumia "mbinu ya dunia iliyoungua" katika juhudi zake za kukamata Severodonetsk.
Bw Gaidai alionya kuwa vikosi vya Urusi vimeharibu daraja lote isipokuwa moja katika mto Donets na kusema kuwa jiji hilo liko katika hatari ya kukatwa.
================++
Karibuni katika Dira ya Dunia[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]