FRANC THE GREAT
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 5,416
- 7,828
Tatizo la Wairan ni moja ukiwakatalia kesho wanatengeneza wao waajemi ndivyo walivyo walikataliwa s300 kipindi cha nyuma wakatengeneza bavar 373 ambao upo sawa na s300Urusi Yakataa Ombi La Irani Kuuziwa Mfumo Wa Ulinzi Wa Makombora Wa S-400
Urusi imekataa ombi la Irani kuuziwa mfumo wa ulinzi wa anga wa S-400, kukiwa na wasiwasi kuwa uuziwaji huo ungeweza kuongezeka zaidi mvutano katika eneo la Mashariki ya Kati.
View attachment 1112962
Ombi hilo lilikataliwa na Rais Vladimir Putin, kwa kile kinachoelezwa kuwa, kwa kukubali ombi hilo la Irani huenda kungechochea zaidi mivutano na migogoro katika eneo la Mashariki ya Kati. Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif alitembelea Moscow Mei 7.
Mauzo ya mifumo hii ya Makombora yamekuwa na utata katika Mashariki ya Kati huku Uturuki, mwanachama wa NATO na mshirika wa Marekani, akihatarisha hatua za adhabu za utawala wa Trump kwa kukubali kununua mitambo hiyo.
View attachment 1112997
Rais wa Urusi, Vladimir Putin akiendesha mkutano wa kijeshi wa maswala ya anga huko Sochi, Urusi, Mei 15, 2019. (Reuters)
Mgomo wa Urusi kwa ombi la Irani unaonesha uwiano wa kinguvu katika Ghuba ya Uajemi, ambako kumekuwa na mvutano mkubwa kati ya Jamhuri ya Kiislamu kwa upande mmoja, na Umoja wa Mataifa na washirika wake wa Ghuba ya Uarabu kwa upande mwingine. Rais Donald Trump alikubali mwezi huu kutuma majeshi zaidi katika eneo hilo ikiwa ni baada ya Marekani kudai Irani kuhusika kwenye mashambulizi ya mitambo ya mafuta ya Saudia pamoja na meli nne.
Viongozi wa Irani wamekana kuhusika kwa Irani katika mashambulizi hayo.
Kuimarisha Uhusiano
Urusi na Irani wamekuwa na uhusiano wa karibu wa kisiasa na kijeshi katika miaka ya hivi karibuni, ingawa kuna ishara kwamba Moscow inatafuta kupunguza hatua za Iran katika eneo la Mashariki ya Kati ikiwa ni kutafuta kulinda uhusiano wake na mamlaka nyingine za kikanda kama Saudi Arabia na Israeli.
"Uimarishaji wowote wa kweli au wa kufikirika wa Irani unaweza kusababisha ongezeko - ikiwa Urusi imeikatalia Irani ombi kama hilo, inamaanisha kuwa Urusi inataka kuendelea kufanya kazi katika mahusiano na Saudi Arabia, Israeli na kuweka fursa ya mazungumzo na Trump," Ruslan Pukhov, mkuu wa Kituo cha Uchambuzi wa Mikakati na Teknolojia huko Moscow, alisema. "Ikiwa Urusi itaamua kuipatia Irani Mifumo ya S-400, itakuwa changamoto moja kwa moja kwa Saudi Arabia na Israeli, hivyo itakuwa kinyume na maslahi ya kitaifa ya Urusi."
Urusi ni mojawapo ya nchi zinazotetea mkataba wa nyuklia wa mwaka 2015 na Irani, ambapo Marekani iliachana nao mwaka jana kabla ya kurejesha vikwazo vya kiuchumi kwa Irani. Nchi hizo mbili pia zilimsaidia Rais wa Syria Bashar al-Assad kurejesha udhibiti wa maeneo karibia yote ya Syria baada ya miaka minane ya vita vya wenyewe kwa wenyewe ambavyo vilisababisha mamia ya maelfu ya watu kupoteza maisha.
S-400 ni Mfumo wa Makombora wa Ulinzi wa Anga ambao unauwezo wa kulenga shabaha katika umbali wa hadi kilomita 400 (maili 249).
Chanzo: The Moscow Times::Russia Rejected Iran S-400 Missile Request Amid Gulf Tension
Wewe muongo.Tatizo la Wairan ni moja ukiwakatalia kesho wanatengeneza wao waajemi ndivyo walivyo walikataliwa s300 kipindi cha nyuma wakatengeneza bavar 373 ambao upo sawa na s300
Sio ajabu ukasikia wamekuja na version ya Bavar 474 sawa na s400 maana hawachelewi
Tatizo la Wairan ni moja ukiwakatalia kesho wanatengeneza wao waajemi ndivyo walivyo walikataliwa s300 kipindi cha nyuma wakatengeneza bavar 373 ambao upo sawa na s300
Sio ajabu ukasikia wamekuja na version ya Bavar 474 sawa na s400 maana hawachelewi
Sasa wanataka kununua kumbe uwezo wa kutengeneza wanao. Watakuwa ni majuha wakutupwa.Tatizo la Wairan ni moja ukiwakatalia kesho wanatengeneza wao waajemi ndivyo walivyo walikataliwa s300 kipindi cha nyuma wakatengeneza bavar 373 ambao upo sawa na s300
Sio ajabu ukasikia wamekuja na version ya Bavar 474 sawa na s400 maana hawachelewi
Jinga ww, sisi unatufananisha na Iran, urusi amewezaje kama binadamu, then wengine washindwe dada anguWatu acheni propaganda. Iran hana uwezo wa kutengeneza silaha yenye kiwango kama hicho.
Haya mambo ya technology yanaendana zaidi na kipawa cha asili "Nature Talent" na kwa mantiki hiyo Iran wana "Capacity Limitation". Ingekuwa rahisi hivyo basi hata sisi tungezitengeneza hata pale Morogoro au Mbeya.
Mbona nchi nyingi tu zinanunua silaha wakati uwezo wa kutengeneza wanao. Hata israel wana air defense za mmarekani wakati wao wanaweza kutengeneza za kwao.Sasa wanataka kununua kumbe uwezo wa kutengeneza wanao. Watakuwa ni majuha wakutupwa.
Moscow BREAKS SILENCE on Claim of Russia's Alleged Refusal to Sell S-400 to Iran
Sputnik/ Alexei Malgavko
14:51 31.05.2019(updated 16:17 31.05.2019)
On Thursday, Bloomberg published a report, citing its sources, which says that Russia has rejected a request from Iran to buy S-400 missile defence systems amid concerns that the move would deteriorate the situation in the Middle East.
Kremlin spokesman Dmitry Peskov said Friday he did not have information that Russia had allegedly refused to supply S-400 air defence systems to Iran.
βI do not have such information,β Peskov told reporters in response to a relevant question.
He called for careful verification of such reports.
βWe must be very careful about information,β Peskov said.
Sputnik has learned from its source on Friday that Tehran and Moscow were currently not discussing S-400 supplies to Iran.
Putin kahofia maisha yake, kwani Israel ingemfanya kitu hajawahi ona yeye binafsi, Netanyahu alienda Moscow na kumwambia ukiwauzia Iran S-400 jua umetangaza vita vikuu na Israel, na Putin akabaki kutoa macho tu, anajua Israel ni nani.. Maana S-300 waliouziwa Syria inapigwa na kuchakazwa kila siku na Israel AirForce wanaichezea kama toy vile yaani, tokea S-300 iende Syria imebakia kama sanamu la maonyesho tu.. Syria wanashangaa tu..!!
Kwa nn wasubili kukataliwa si watengeneze yao!kwa ununue kitu ambacho unawezo wa kukitengeneza?iyo bavar labda inajulikana uko tehran lakin ulimwengu wasilaha haijulikani.Tatizo la Wairan ni moja ukiwakatalia kesho wanatengeneza wao waajemi ndivyo walivyo walikataliwa s300 kipindi cha nyuma wakatengeneza bavar 373 ambao upo sawa na s300
Sio ajabu ukasikia wamekuja na version ya Bavar 474 sawa na s400 maana hawachelewi
ππππComments zingine ni za kilevi gani sijui.. Seriously?
Pale fundi baiskeli anapoingia kwenye mkutano wa kutathmini namna iliyopelekea chombo cha anga za mbali kupoteza mawasiliano. Majibu yake yatakuwa kama haya yakwako.Putin kahofia maisha yake, kwani Israel ingemfanya kitu hajawahi ona yeye binafsi, Netanyahu alienda Moscow na kumwambia ukiwauzia Iran S-400 jua umetangaza vita vikuu na Israel, na Putin akabaki kutoa macho tu, anajua Israel ni nani.. Maana S-300 waliouziwa Syria inapigwa na kuchakazwa kila siku na Israel AirForce wanaichezea kama toy vile yaani, tokea S-300 iende Syria imebakia kama sanamu la maonyesho tuπ π .. Syria wanashangaa tu..!!