Urusi yakataa ombi la Irani kuuziwa mfumo wa ulinzi wa makombora wa S-400

Tatizo la Wairan ni moja ukiwakatalia kesho wanatengeneza wao waajemi ndivyo walivyo walikataliwa s300 kipindi cha nyuma wakatengeneza bavar 373 ambao upo sawa na s300

Sio ajabu ukasikia wamekuja na version ya Bavar 474 sawa na s400 maana hawachelewi
Na teknolojia wanachukulia hapohapo Urusi ila Urusi inajifanya haihusiki.

Funika kombe....
 
Huyo Israel ana nn mpk amguse mrusi?!
Kaka umetoka kunywa chang,aa nn umelewa?!
Usifananishe bughatti na corola Urusi =bughatti,israel=corolla.
Ikitokea vta imepiganwa kat yao wayahudi tunawasahau ktk uso wa dunia km wali exist
Putin kahofia maisha yake, kwani Israel ingemfanya kitu hajawahi ona yeye binafsi, Netanyahu alienda Moscow na kumwambia ukiwauzia Iran S-400 jua umetangaza vita vikuu na Israel, na Putin akabaki kutoa macho tu, anajua Israel ni nani.. Maana S-300 waliouziwa Syria inapigwa na kuchakazwa kila siku na Israel AirForce wanaichezea kama toy vile yaani, tokea S-300 iende Syria imebakia kama sanamu la maonyesho tu.. Syria wanashangaa tu..!!
 
Israel ina nini kwani?! Mbona mnaikweza hivyo! Watu waliotawaliwa na muAfrica muEgypt. Taifa la mwaka 1947, taifa la wakimbizi!!? Acheni kututia aibu.
Putin kahofia maisha yake, kwani Israel ingemfanya kitu hajawahi ona yeye binafsi, Netanyahu alienda Moscow na kumwambia ukiwauzia Iran S-400 jua umetangaza vita vikuu na Israel, na Putin akabaki kutoa macho tu, anajua Israel ni nani.. Maana S-300 waliouziwa Syria inapigwa na kuchakazwa kila siku na Israel AirForce wanaichezea kama toy vile yaani, tokea S-300 iende Syria imebakia kama sanamu la maonyesho tu.. Syria wanashangaa tu..!!
 
wanaotengeneza Silaha duniani za first class ni only russia na america...na sababu ni kwamba wao ndio waliibuka washindi wa WW2 baada ya kumuangusha Hitler. ukiacha hao wababe wawili wengine bado wanajaribu...kama Iran ndo bado kabisa yeye kajiweka kipropaganda zaidi...military technology sio kitu cha kulala na kuamka...ni investment ya muda mrefu
Technology?! Kwa kukusaidia tu sikiliza Radio Tehran Idhaa ya Kiswahili kipindi cha Iran na Technologia utapata kujua vingi. Inadaiwa US ndo wa kwanza kutengeneza Drones lkn unaambiwa Iran ina hizo ndege zisizo na rubani miaka 7 nyuma ya Marekani na ndiyo maana Drone ya kwanza kuangushwa ya US aliangusha Iran ni miaka sasa imepita haya ni marudio tu. Iran ndiyo nchi ya kwanza na nadhani ni ya pekee mpaka sasa kutengeneza combat za kinyonga yaani zinabadilika rangi zenyewe kulingana na mazingira ulipo, maaamaa yangu hii Tech sasa aipate ndugu yangu US utasikia kila kona yeye ndiyo kwanza. Someni.
 
wanaotengeneza Silaha duniani za first class ni only russia na america...na sababu ni kwamba wao ndio waliibuka washindi wa WW2 baada ya kumuangusha Hitler. ukiacha hao wababe wawili wengine bado wanajaribu...kama Iran ndo bado kabisa yeye kajiweka kipropaganda zaidi...military technology sio kitu cha kulala na kuamka...ni investment ya muda mrefu
Hizo propaganda ndo zilishusha ile drone. Endelea kuwaza hivyo hivyo
 
Putin kahofia maisha yake, kwani Israel ingemfanya kitu hajawahi ona yeye binafsi, Netanyahu alienda Moscow na kumwambia ukiwauzia Iran S-400 jua umetangaza vita vikuu na Israel, na Putin akabaki kutoa macho tu, anajua Israel ni nani.. Maana S-300 waliouziwa Syria inapigwa na kuchakazwa kila siku na Israel AirForce wanaichezea kama toy vile yaani, tokea S-300 iende Syria imebakia kama sanamu la maonyesho tu.. Syria wanashangaa tu..!!
duh,hivi uko siriasi au umeshiba ugaali na dagaa?
 
Technology?! Kwa kukusaidia tu sikiliza Radio Tehran Idhaa ya Kiswahili kipindi cha Iran na Technologia utapata kujua vingi. Inadaiwa US ndo wa kwanza kutengeneza Drones lkn unaambiwa Iran ina hizo ndege zisizo na rubani miaka 7 nyuma ya Marekani na ndiyo maana Drone ya kwanza kuangushwa ya US aliangusha Iran ni miaka sasa imepita haya ni marudio tu. Iran ndiyo nchi ya kwanza na nadhani ni ya pekee mpaka sasa kutengeneza combat za kinyonga yaani zinabadilika rangi zenyewe kulingana na mazingira ulipo, maaamaa yangu hii Tech sasa aipate ndugu yangu US utasikia kila kona yeye ndiyo kwanza. Someni.
Kijana Punguza mahaba na Muajemi atakufanya kitu mbaya yule...kumbuka sodoma na gomora ndo ilikua maeneo ya huko huko. Usa kaanza kutengenez drone za WW11 huko anapambana na hitler, Nicola Tesla ndo idea ya drone imeanzia kwake sasa hyo ya iran sijui miaka saba nyuma ya Us imetokea wapi? Iran hana tecnolojia yeyote zaidi ya kuiga iga tu


 
Putin kahofia maisha yake, kwani Israel ingemfanya kitu hajawahi ona yeye binafsi, Netanyahu alienda Moscow na kumwambia ukiwauzia Iran S-400 jua umetangaza vita vikuu na Israel, na Putin akabaki kutoa macho tu, anajua Israel ni nani.. Maana S-300 waliouziwa Syria inapigwa na kuchakazwa kila siku na Israel AirForce wanaichezea kama toy vile yaani, tokea S-300 iende Syria imebakia kama sanamu la maonyesho tu.. Syria wanashangaa tu..!!
Wewe ni zuzu haswaa
 
MBONA URUSI ILIZIKATAA HIZO HABARI, WALISEMA IRAN HAUKUJA KUTUOMBA HUO MFUMO?? ACHENI UONGO, NA HIO HABARI NI YA KITAMBO SANA, MTOA POST ACHA UONGO
Punguza Jazba Ndugu! Jaribu kusoma taarifa kwa umakini na utulivu na la msingi zaidi zingatia sana 'Tarehe' ya kuchapishwa kwa taarifa husika.
 
Mods futa huu uongo
Hakuna taarifa ambazo ni za kuaminika kwa asilimia mia moja. Taarifa zote hizi hutangazwa na kisha kuhifadhiwa ili kutumika kama rejea ya taarifa zijazo siku za mbeleni kwahiyo usifikiri kwamba wale waliochapisha hizo taarifa na wakaziacha hivyo ziendelee kusomwa pasipo kuzifuta hawana maana.
 
Jamaa wanabishania mifumo yenye technolojia ya juu ya Ulinzi sisi tunahangaikia Maji..Na barabara ...na kufukuza watu Bungeni
 
Kusema US ameanza kuunda drone sawa ila usimbeze Muhajemi kwan bwana wako USA anatolewa nishai toka 1980 mpk sasa.
Na haigiigi ovyo ana wana inteligensia wake
Kijana Punguza mahaba na Muajemi atakufanya kitu mbaya yule...kumbuka sodoma na gomora ndo ilikua maeneo ya huko huko. Usa kaanza kutengenez drone za WW11 huko anapambana na hitler, Nicola Tesla ndo idea ya drone imeanzia kwake sasa hyo ya iran sijui miaka saba nyuma ya Us imetokea wapi? Iran hana tecnolojia yeyote zaidi ya kuiga iga tu


 
Urusi Yakataa Ombi La Irani Kuuziwa Mfumo Wa Ulinzi Wa Makombora Wa S-400

Urusi
imekataa ombi la Irani kuuziwa mfumo wa ulinzi wa anga wa S-400, kukiwa na wasiwasi kuwa uuziwaji huo ungeweza kuongezeka zaidi mvutano katika eneo la Mashariki ya Kati.

View attachment 1112962

Ombi hilo lilikataliwa na Rais Vladimir Putin, kwa kile kinachoelezwa kuwa, kwa kukubali ombi hilo la Irani huenda kungechochea zaidi mivutano na migogoro katika eneo la Mashariki ya Kati. Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif alitembelea Moscow Mei 7.

Mauzo ya mifumo hii ya Makombora yamekuwa na utata katika Mashariki ya Kati huku Uturuki, mwanachama wa NATO na mshirika wa Marekani, akihatarisha hatua za adhabu za utawala wa Trump kwa kukubali kununua mitambo hiyo.

View attachment 1112997
Rais wa Urusi, Vladimir Putin akiendesha mkutano wa kijeshi wa maswala ya anga huko Sochi, Urusi, Mei 15, 2019. (Reuters)

Mgomo wa Urusi kwa ombi la Irani unaonesha uwiano wa kinguvu katika Ghuba ya Uajemi, ambako kumekuwa na mvutano mkubwa kati ya Jamhuri ya Kiislamu kwa upande mmoja, na Umoja wa Mataifa na washirika wake wa Ghuba ya Uarabu kwa upande mwingine. Rais Donald Trump alikubali mwezi huu kutuma majeshi zaidi katika eneo hilo ikiwa ni baada ya Marekani kudai Irani kuhusika kwenye mashambulizi ya mitambo ya mafuta ya Saudia pamoja na meli nne.

Viongozi wa Irani wamekana kuhusika kwa Irani katika mashambulizi hayo.

Kuimarisha Uhusiano

Urusi na Irani wamekuwa na uhusiano wa karibu wa kisiasa na kijeshi katika miaka ya hivi karibuni, ingawa kuna ishara kwamba Moscow inatafuta kupunguza hatua za Iran katika eneo la Mashariki ya Kati ikiwa ni kutafuta kulinda uhusiano wake na mamlaka nyingine za kikanda kama Saudi Arabia na Israeli.

"Uimarishaji wowote wa kweli au wa kufikirika wa Irani unaweza kusababisha ongezeko - ikiwa Urusi imeikatalia Irani ombi kama hilo, inamaanisha kuwa Urusi inataka kuendelea kufanya kazi katika mahusiano na Saudi Arabia, Israeli na kuweka fursa ya mazungumzo na Trump," Ruslan Pukhov, mkuu wa Kituo cha Uchambuzi wa Mikakati na Teknolojia huko Moscow, alisema. "Ikiwa Urusi itaamua kuipatia Irani Mifumo ya S-400, itakuwa changamoto moja kwa moja kwa Saudi Arabia na Israeli, hivyo itakuwa kinyume na maslahi ya kitaifa ya Urusi."

Urusi ni mojawapo ya nchi zinazotetea mkataba wa nyuklia wa mwaka 2015 na Irani, ambapo Marekani iliachana nao mwaka jana kabla ya kurejesha vikwazo vya kiuchumi kwa Irani. Nchi hizo mbili pia zilimsaidia Rais wa Syria Bashar al-Assad kurejesha udhibiti wa maeneo karibia yote ya Syria baada ya miaka minane ya vita vya wenyewe kwa wenyewe ambavyo vilisababisha mamia ya maelfu ya watu kupoteza maisha.

S-400 ni Mfumo wa Makombora wa Ulinzi wa Anga ambao unauwezo wa kulenga shabaha katika umbali wa hadi kilomita 400 (maili 249).

Chanzo: The Moscow Times::Russia Rejected Iran S-400 Missile Request Amid Gulf Tension
Kama hii ni kweli Moscow haitakuwa imeifanyia haki Iran,hasa ukizingatia kwamba Iran imezunguukwa na very hostile nations kama Israel na Saudi Arabia,huku Israel ikiwa na silaha za nucleaur na Riyadh ikiwa ya tatu kwa ununuzi wa silaha duniani.

Hata hivyo duru ziyingine zinasema Moscow imesema Iran haijaomba mfumo huo wa makombora,lakini kama wataomba wako tayari kuwauzia system hiyo.

Russia confirms Iran has not requested to purchase S-400 system
By
News Desk
2019-06-09



BEIRUT, LEBANON (10:00 A.M.) – The Russian Deputy Prime Minister confirmed in an interview with Sputnik News on Friday that Iran had not requested to purchase the S-400 system, despite the U.S.-based Bloomberg publication’s claims.
“No,” Russia’s Deputy Prime Minister Yuri Borisov told Sputnik on Friday when asked whether Moscow had received any request from Tehran for S-400 System.

In a report published in late May, Bloomberg claimed Russia had rejected Iran’s request to buy S-400 missile defense systems. The report claimed Russia was “concerned that the sale would stoke more tension” in the Middle East.
Bloomberg, citing what it called people with knowledge of the matter including a senior Russian official, claimed that Iran’s alleged request had been rebuffed by Russian President Vladimir Putin.
“Let them [media outlets] continue spreading fake news,” Sputnik quoted Borisov as saying.
As regards Iran-Russia cooperation, “everything goes as it goes,” he added.
Russia previously delivered the S-300 system to Iran in 2016; it has since been introduced into the Iranian Armed Forces.
 
Pole
Kijana Punguza mahaba na Muajemi atakufanya kitu mbaya yule...kumbuka sodoma na gomora ndo ilikua maeneo ya huko huko. Usa kaanza kutengenez drone za WW11 huko anapambana na hitler, Nicola Tesla ndo idea ya drone imeanzia kwake sasa hyo ya iran sijui miaka saba nyuma ya Us imetokea wapi? Iran hana tecnolojia yeyote zaidi ya kuiga iga tu


Unajua humu Jamii Forums kuna watu wanaijua Historia ya Dunia kuanzia karne ya 21 tu na pengine na ya 20 kwa mbaaali ukiwamo wewe. Nikola Tesla!; I know that motherfucker gay (shoga). Leo unamuona Iran ni taifa dogo! Haha eti WW2, naandika lakini nasema sikia ili ubongo wako upate kuelewa "Iran was there before America". Persian ndiyo Iran na iliwahi kuitawala Dunia kimabavu miaka ya huko nyuma hata kabla ya Bwana Yesu. Pia nikujuze Nabii Ruth aliishi Jordan siyo Iran hivyo ule mchezo wa dhambi kubwa ya Sodomy ulichezwa Jordan na siyo kwa miamba ya kiajemi.
 
Back
Top Bottom