Ho Lee Fuk 🤣🤣🤣Tafuteni ya kwenu, kila tiba mzungu ndio apambane? Wasomi wenu wana kazi gani?
Bora kuliko wana sii hasa.😂
Na akiyumba mfaransa, mjerumani atayumba,mwitaliano zamani hoi,acha akina Spain,ureno ,ugiruki na wengine.🤔Mfaransa atakoma kiherehere cha kupingana na Urusi na kuwa chawa wa marekani.
Kama corona ilivyo kuwa biashara ya Mazezeta fulani.Kuna raia wanakwambia US anagawa misaada ya ARV, lakini hawajui zinalipiwa either direct or indirect way. Hizo ni biashara za watu hata malaria ni mchezo unachezwa, kwa hili Russia & nawaunga mkono.
hujue hii mijitu ni mijinga sna ndo ilipotegesha mirija ya ulaji kwa makampuni yao.China nasikia dawa ya kutokomeza malaria kabisa isiwepo Africa anayo muda
😆😆
Wakati China bado wanasumbuliwa na Mbu wanaoeneza Malaria...hoteli zao bado wanaweka dawa ya mbuChina nasikia dawa ya kutokomeza malaria kabisa isiwepo Africa anayo muda
😆😆
Halafu mfaransa naona kashikwa kuliko mpaka Italy,Uturuki na Morocco wana beef nae.Mfaransa atakoma kiherehere cha kupingana na Urusi na kuwa chawa wa marekani.
Mchina na Mrusi walikuwa wapi mpaka wameona mambo magumu ndio wanaleta unafiki wao kwa waafrika!!!Ukimwi,malaria nk,ni magonjwa yq kisiasa na kiuchumi kwa nchi za magharibi,dawa na chanjo zake zipo,sema jamaa washenzi sana. Mchina na mrusi kwa hili nawaunga mkono.
Halafu wana wale mbu wenye rangi ya nyeusi,nyeupe na njano 😂. Hotel unalipa Yuan 150 lakini unatafunwa usiku mzima😂Wakati China bado wanasumbuliwa na Mbu wanaoeneza Malaria...hoteli zao bado wanaweka dawa ya mbu
Uhalisia marekani ni muhuni anatengeneza magonjwa ili yeye afaidike. Russia na China sasa nao wamechoka kupelekeshwa na marekani wameamua kula nae sahani moja.Mchina na Mrusi walikuwa wapi mpaka wameona mambo magumu ndio wanaleta unafiki wao kwa waafrika!!!
Kukaa Kimya wakati uhalifu unatendeka huna tofauti na mhalifu.Uhalisia marekani ni muhuni anatengeneza magonjwa ili yeye afaidike. Russia na China sasa nao wamechoka kupelekeshwa na marekani wameamua kula nae sahani moja.