Habari wanajukwaa,
Kama title inavyojieleza hapo juu, anahitajika graphics and designer kwa haraka sana.
SIFA ZA MUOMBAJI
Kituo cha kazi ni Dar Es Salaam.
NB: Vyeti sio kikwazo, tunahitaji kipaji na ubunifu wa muhusika.
Asanteni.
Kama title inavyojieleza hapo juu, anahitajika graphics and designer kwa haraka sana.
SIFA ZA MUOMBAJI
- Awe na ubunifu na mwenye kuleta tija kwa timu
- Awe na kasi katika kazi yake
- Mwenye nidhamu na kazi yake
- Mwenye kujua kutumia softwares mbalimbali katika kudesign
Kituo cha kazi ni Dar Es Salaam.
NB: Vyeti sio kikwazo, tunahitaji kipaji na ubunifu wa muhusika.
Asanteni.