Jifunze kuweka mipaka kwenye mahusiano yako. Iwe urafiki ama uchumba.
Huyo unamchekea chekea ndio maana anakutongoza kijanja alaf na ww hujagundua.
Kama unampenda mpenz wako... mpige stop order huyo rafiki yako.. na muoneshe kuwa unampenda mpenz wako sana. Asije kukuharibia kwa mpenz wako
Hembu acha kutuaibisha wasukuma bwana na umri huo unaleta mambo ya aibu namna hii mbele ya jamii. Mwanamke unaona kabisa nyege zinamsumbua bado chenga za nini. Haya huna mpango naye kwanini hujamwambia kwamba huna mpango naye. We nadhani utakuwa msukuma wa dar wewe utokee itilima,ikunguilipu,giliku, au matongo jambo kama Hili halihitaji ushauri alaaah.