Thanx God,mkataba wangu na hao wapumbavu unaisha mwezi wa 6.
Si kwel kama unavosema mkubwa Zidy..nilikua kene banda lao leo diamondjubilee leo na apa nilipo nna flyer ya online apprication system guidline yao..
Ngoja ninukuu sehemu unayoitaka wewe,ina sema iv,
"All 2nd,3rd and 4rth year continuinin stdnts who paid one time loan applictin fee of Tzs 30,000 for academic year 2009/10, 2010/2011 and 2011/2012 shall not b required to pay any fee." mwisho wa kunukuu
i hop that will help
mkubwa mwsho wakurenew ni lini?
usiwaite wapumbavu wakat wanakuwezesha
Si kwel kama unavosema mkubwa Zidy..nilikua kene banda lao leo diamondjubilee leo na apa nilipo nna flyer ya online apprication system guidline yao..
Ngoja ninukuu sehemu unayoitaka wewe,ina sema iv,
"All 2nd,3rd and 4rth year continuinin stdnts who paid one time loan applictin fee of Tzs 30,000 for academic year 2009/10, 2010/2011 and 2011/2012 shall not b required to pay any fee." mwisho wa kunukuu
i hop that will help
Mkuu kama hayo uyasemayo yanaukweli...kwa mwaka wa kwanza waliokosa mkopo waapply wap sasa...maana kuna options tatu.....
1) first time applicants
2)Loan Beneficiaries(1st-3rd Year) ?
3)Loan Beneficiaries(4th - 5th Year)
Aya waende wapi kati izo option maana wao sio loan beneficiaries
Mkuu kama hayo uyasemayo yanaukweli...kwa mwaka wa kwanza waliokosa mkopo waapply wap sasa...maana kuna options tatu.....
1) first time applicants
2)Loan Beneficiaries(1st-3rd Year) ?
3)Loan Beneficiaries(4th - 5th Year)
Aya waende wapi kati izo option maana wao sio loan beneficiaries