Na mimi pia nikijua za kilimo na umwagiliaji yaan BBTNiliposoma heading nikajua utaongelea zana za Kilimo.
Usiku mwingi ushapiga chupa kadhaa unamchukua Mrembo wako vuuup mpaka Lodge kufika tu room unajisachi kwenye wallet hamad huna Condom hata moja unatoka kucheck box na kasha la Zana lipo empty linakuzomea hakuna Condom hata moja, unaulizia reception wanakwambia hawana kitu na mda huo maduka yote yameshafungwa, mlinzi nae unamuiliza anasema hana hata ya akiba, mwisho unaishia kwenda kupiga kavukavu hivyo hivyo kupunguza upwiru,Maanake mnashindwa kununuaπππ
Basi sawaUsiku mwingi ushapiga chupa kadhaa unamchukua Mrembo wako vuuup mpaka Lodge kufika tu room unajisachi kwenye wallet hamad huna Condom hata moja unatoka kucheck box na kasha la Zana lipo empty linakuzomea hakuna Condom hata moja, unaulizia reception wanakwambia hawana kitu na mda huo maduka yote yameshafungwa, mlinzi nae unamuiliza anasema hana hata ya akiba, mwisho unaishia kwenda kupiga kavukavu hivyo hivyo kupunguza upwiru,
Sio kwamba hauna hela ni inatokea tu emergency ndani ya muda ule nanihi zimehamia huko chini na kichupa tayari kimeshajaa namaanisha kichupa kimeshajaa
π π π π π π π π π πNiliposoma heading nikajua utaongelea zana za Kilimo.
Kavu ndio tamu mm napenda jaman, wazungu hadi nawasikia wanavyorukaHii haina hata haja ya salamu.
...
Kama kichwa hapo juu kinavyojieleza, naomba kuwakumbusha wahusika wa kuzisambaza Zana maeneo tofauti tofauti ya Nchi kwenye vyuo, guest house, lodge, ofisi za watendaji wa kata, zahanati, mahospitalini, nk kwamba sasa Zana zimehadimika yamebakia maboksi matupu na makasha matupu tu.
Naomba wahusika wanaosambaza hizo Zana wazisambaze na wajitahidi kuzisambaza maana sasa kuna ukame wa Zana watu wanaishia kupigana kavukavu bila Zana na Zana zinatafutwa kama dhahabu au almasi.
Jana nimemuonesha mtu Zana akashtuka ananiuliza umeipata wapi? Maana Zana hazionekani tena.
Nukta.
NB: Zana ni Condom za bure zinazotolewa na Serekali
View attachment 2790906
Zanzibar Hadi mapoti wao hamna kitu sijui nani amfunge paka kengele maana walibaki viongozi wa dini tu.Hii haina hata haja ya salamu.
...
Kama kichwa hapo juu kinavyojieleza, naomba kuwakumbusha wahusika wa kuzisambaza Zana maeneo tofauti tofauti ya Nchi kwenye vyuo, guest house, lodge, ofisi za watendaji wa kata, zahanati, mahospitalini, nk kwamba sasa Zana zimehadimika yamebakia maboksi matupu na makasha matupu tu.
Naomba wahusika wanaosambaza hizo Zana wazisambaze na wajitahidi kuzisambaza maana sasa kuna ukame wa Zana watu wanaishia kupigana kavukavu bila Zana na Zana zinatafutwa kama dhahabu au almasi.
Jana nimemuonesha mtu Zana akashtuka ananiuliza umeipata wapi? Maana Zana hazionekani tena.
Nukta.
NB: Zana ni Condom za bure zinazotolewa na Serekali
View attachment 2790906
Starehe gharama, nunuaHii haina hata haja ya salamu.
...
Kama kichwa hapo juu kinavyojieleza, naomba kuwakumbusha wahusika wa kuzisambaza Zana maeneo tofauti tofauti ya Nchi kwenye vyuo, guest house, lodge, ofisi za watendaji wa kata, zahanati, mahospitalini, nk kwamba sasa Zana zimehadimika yamebakia maboksi matupu na makasha matupu tu.
Naomba wahusika wanaosambaza hizo Zana wazisambaze na wajitahidi kuzisambaza maana sasa kuna ukame wa Zana watu wanaishia kupigana kavukavu bila Zana na Zana zinatafutwa kama dhahabu au almasi.
Jana nimemuonesha mtu Zana akashtuka ananiuliza umeipata wapi? Maana Zana hazionekani tena.
Nukta.
NB: Zana ni Condom za bure zinazotolewa na Serekali
View attachment 2790906
Awe nazo wakati woteeStarehe gharama, nunua