Kwa namna yeyote ile, Ukraine haiwezi shinda hii vita , wananchi wa US nao wana akili wanaona kodi zao zinazotumwa kwenda Ukraine zinaweza kuboresha maisha yao hapo US.
Mwisho Ukraine kasaidiwa na haitoshinda hii vita, na hii wajuzi walisema toka vita inaanza, kupigana na Russia sio mchezo, upumbavu wa kudanganyana Russia ana silaha hafifu za kizamani yako wapi sasa.