Upotoshaji juu yaliyo dawa za mitishamba

Upotoshaji juu yaliyo dawa za mitishamba

Baba Vladmir

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2021
Posts
408
Reaction score
708
Ni matumaini yangu kuwa M/Mungu ametuamsha salama!

Kuna baadhi ya watu wanapotosha juu ya dawa asili za mitishamba,wanajaribu kuaminisha kuwa ni mbaya na zinaweza kuwa na madhara.

Kuna dawa za mitishamba zinatibu magonjwa mengi sugu na yaliyoshindikana na zimezibitishwa na mamlaka husika na zikakubalika kutumika kwa ajili ya kuponya uhai wa watu.

Binafsi nasema tuache kufikria vitu kwa ujumla maana haiwezekani Mkemia athibishe dawa halafu wewe ukatishe watu tamaa kuwa zina madhara.

Dawa za mitishamba side effect yake ni ndogo ukilinganisha na madhara ya hizi dawa za kizungu,na hata aina nyingi ya sample za mitishamba unapoipeleka maabara kuthibitishwa 99 asilimia huuonekana clean kabisa.

Ushauri wangu ni kuwa,unapopata dawa ya mitishamba kwa ajili ya kuingia kinywani mwako,hakikisha imechunguzwa,kukubalika na kusajiliwa na mamlaka husika kuwa itumike kutibu tatizo hilo.Ila kwa wale mnaopenda za wamasai shida ndiyo inaanzia hapo maana kuanzia maandalizi yake,utunzaji na uhifadhi wake ni hafifu sana na mara nyingi hazina vipimo,so kuwa makini.

Mitishamba ni mizuri sana katika kupambana na magonjwa sugu hasa yale ya kimfumo wa maisha kama moyo,kisukari,presha,figo nk.Jambo mhimu ni kutafuta mazingira sahihi kama unahitaji tiba za mitishamba siyo holela holela!

Happy uhuru day!!
 
Hawata kuelewa mkuu ni sawa na mtu kukuambia chanjo ya corona ni mbaya wazungu wanania mbaya na waafrika alafu muda huo anatumia ARV za wazungu hii ndo Afrika
Ukiangalia madhara mengi ya kiafya kwa watu,mengi pia yamesababishwa na matumizi ya dawa za kizungu,mfano antibiotic nyingi zina tabia ya kufeli na kusababisha usugu katika ugonjwa,madawa ya uzazi kww wanawake wengi yanawaacha wakigugumia na shida,lakini ndo hivyo tunaacha vya kwetu tunasifu vya wale,mbaya zaidi ukiongea mitishamba unaweza kuonekana unapotosha au umepitwa na wakati!! Kazi kwelikweli.
 
Ukiangalia madhara mengi ya kiafya kwa watu,mengi pia yamesababishwa na matumizi ya dawa za kizungu,mfano antibiotic nyingi zina tabia ya kufeli na kusababisha usugu katika ugonjwa,madawa ya uzazi kww wanawake wengi yanawaacha wakigugumia na shida,lakini ndo hivyo tunaacha vya kwetu tunasifu vya wale,mbaya zaidi ukiongea mitishamba unaweza kuonekana unapotosha au umepitwa na wakati!! Kazi kwelikweli.
Mfumo wa elimu ya kikoloni bado ni changamoto kubwa Sana hasa kwa watu wa Afrika kukubali uhalisia wao shida kubwa ni kutokukubali vya kwetu na kuona vya wazungu ni bora zaidi mkuu
 
Malalamiko ya watu wengi ni juu ya uuzaji holela wa haya madawa ya kienyeji huku mitaani...

Yangewekewa utaratibu wake na marufuku ikapigwa juu ya uuuzaji holela ikiambatana na usimamizi kutoka kwa mamlaka husika..
 
Wakati nasoma Pharmacognosy nilisoma na limitations za herbal drugs, shida kubwa ni kuwa haijuilikani quantity ya drug iliopo katika dose husika, chukulia mtu anakupa unywe makombe matatu ya mizizi kaponda ponda tu. Dawa nyingi utokana na mimea lakini ikiwa tayari imeshafanyiwa utafiti.

Kwa maana hii basi dawa za miti shamba sio mbaya kama zimetafitiwa na zikafuata njia za kitaalamu kutoka kulimwa, kuvunwa, hifadhi mpaka uchakataji wake.
 
ilo nalo neno
Ni kweli watu wanatapeliwa sana na hata wao wanatapelika! Mtu unatafuta dawa ya nguvu za kiume eti unapewa dawa ya kupaka wakati nguvu za kiume ni suala la mfumo,badala ya kujitibu unaendelea kufurahia muda mfupi huku ukijimaliza kabisa!
 
Kamwe siwezi kuacha asili
JPEG_20211209_130847_8849636640492799011.jpg
 
Ni matumaini yangu kuwa M/Mungu ametuamsha salama!

Kuna baadhi ya watu wanapotosha juu ya dawa asili za mitishamba,wanajaribu kuaminisha kuwa ni mbaya na zinaweza kuwa na madhara.

Kuna dawa za mitishamba zinatibu magonjwa mengi sugu na yaliyoshindikana na zimezibitishwa na mamlaka husika na zikakubalika kutumika kwa ajili ya kuponya uhai wa watu.

Binafsi nasema tuache kufikria vitu kwa ujumla maana haiwezekani Mkemia athibishe dawa halafu wewe ukatishe watu tamaa kuwa zina madhara.

Dawa za mitishamba side effect yake ni ndogo ukilinganisha na madhara ya hizi dawa za kizungu,na hata aina nyingi ya sample za mitishamba unapoipeleka maabara kuthibitishwa 99 asilimia huuonekana clean kabisa.

Ushauri wangu ni kuwa,unapopata dawa ya mitishamba kwa ajili ya kuingia kinywani mwako,hakikisha imechunguzwa,kukubalika na kusajiliwa na mamlaka husika kuwa itumike kutibu tatizo hilo.Ila kwa wale mnaopenda za wamasai shida ndiyo inaanzia hapo maana kuanzia maandalizi yake,utunzaji na uhifadhi wake ni hafifu sana na mara nyingi hazina vipimo,so kuwa makini.

Mitishamba ni mizuri sana katika kupambana na magonjwa sugu hasa yale ya kimfumo wa maisha kama moyo,kisukari,presha,figo nk.Jambo mhimu ni kutafuta mazingira sahihi kama unahitaji tiba za mitishamba siyo holela holela!

Happy uhuru day!!
Wasingekuaminisha hivyo unazani hizo dawa zao wangemuuzia nani? Mind control
 
Kamwe siwezi kuacha asiliView attachment 2038134
Uko vizuri sana Mkuu,kitu kimetwama safiii mpaka raha.kuna watu wamehangaika miaka mingi na wamepita hosp za kila aina bila suluhisho lakini wamepona na wakapata faraja kupitia mitishamba!! Sisi tutaendelea kutumia vya kwetu na wao waendelee kuamini na kutumia vya wale.....kichekesho ni kuwa wanapoathirika na hayo ya kizungu ndo wanaanza kulialia kupata msaada kule ambako waliamini ni ujinga!!
 
Back
Top Bottom