Upinzani wilayani Ngara

Upinzani wilayani Ngara

HERBERTH

Member
Joined
Jun 4, 2013
Posts
16
Reaction score
2
Huu ni mwaka wa 23 sasa toka Tanzania iingie katika mfumo wa vyama vingi lakini wilayani Ngara imeonekana mfumo huu ulichelewa kuingia. Lakini kiukweli mambo yalivyo uchaguzi ujao Chadema wanabeba
 
Komaeni nao magamba, hawana cha kujitetea kwa sasa. Itisheni m4c toka kanda ili mmalize kazi mapema. Fanyeni utafiti kujua aina ya wapiga kura wa hapo Ngara, jitahidini kuwa handle vijana kwani ndiyo mawakala na walinzi wa kura
 
Mwaka huu patachimbika we huoni hata mzee Ntukamazina mwenyewe keshaona ngoma itakuwa nzito ameamua kujinyofoa mapema
 
Huu ni mwaka wa 23 sasa toka Tanzania iingie katika mfumo wa vyama vingi lakini wilayani Ngara imeonekana mfumo huu ulichelewa kuingia. Lakini kiukweli mambo yalivyo uchaguzi ujao Chadema wanabeba

M4C-Movement For Change! CCM-chama Cha Mafisadi...you can see the difference....
 
Back
Top Bottom