Upinzani wawe na ''app' yao...

Upinzani wawe na ''app' yao...

Rebeca 83

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2016
Posts
15,475
Reaction score
33,038
Hello JF,

.ili upinzani kushinda ni lazima waonyeshe wananchi kwa nini wao{Upinzani} ni bora Zaidi ya serikali iliyopo...

Kwa vile mikutano ya kisiasa imekatazwa mpaka wakati wa uchaguzi…..

Hii imeweka mazingira magumu kwa wao kuonyesha mipango yao…...

kuwafikia wananchi wote ambao wangekuwa informed kutokana na hio mikutano hio ya siasa,...

na hivyo ku make decision kuchagua upinzani,hii ni ngumu kwenye climate iliyopo sasa hivi...

Sasa basi mie nimeona tufanye mikutano ya kisiasa 'kidigitally' ...

Nimeona statistics zinaonyesha half of Tanzanian population now have access to internet na trend is going upward,

Who knows baada ya miaka mitano sita iliyobaki ya Magufuli, watu wenye internet watakua 75% au 80% ya watu wote wa Tanzania...

Don't you think this is one area that should be invested on???

Upinzani{especially Lissu coz he is influential),wangekua na 'App' yao inayo update sera zao daily,na pia kusikiliza watu wa kawaida wanasema nini,na vipi matatizo yao...

Kusikiliza watu wanasema nini,wapi serikali ya sasa imeshindwa kutekeleza expectations zao,hii itakua kama Muongozo wa nini wakipigie mkazo kwenye uchaguzi ujao……………….

Nimeona pia website ya Chadema imepooooza...lol,

Mngeweka viwango vya JF ingechangamka na kuwa chanzo cha mabadiliko...

ikiwezekana mu ajiri watu professional kwa ajili ya kuendeleza website yenu..

Muwe na jumatano njema,

Becky.
 
Hello JF,

.ili upinzani kushinda ni lazima waonyeshe wananchi kwa nini wao{Upinzani} ni bora Zaidi ya serikali iliyopo...

Kwa vile mikutano ya kisiasa imekatazwa mpaka wakati wa uchaguzi…..

Hii imeweka mazingira magumu kwa wao kuonyesha mipango yao…...

kuwafikia wananchi wote ambao wangekuwa informed kutokana na hio mikutano hio ya siasa,...

na hivyo ku make decision kuchagua upinzani,hii ni ngumu kwenye climate iliyopo sasa hivi...

Sasa basi mie nimeona tufanye mikutano ya kisiasa 'kidigitally' ...

Nimeona statistics zinaonyesha half of Tanzanian population now have access to internet na trend is going upward,

Who knows baada ya miaka mitano sita iliyobaki ya Magufuli, watu wenye internet watakua 75% au 80% ya watu wote wa Tanzania...

Don't you think this is one area that should be invested on???

Upinzani{especially Lissu coz he is influential),wangekua na 'App' yao inayo update sera zao daily,na pia kusikiliza watu wa kawaida wanasema nini,na vipi matatizo yao...

Kusikiliza watu wanasema nini,wapi serikali ya sasa imeshindwa kutekeleza expectations zao,hii itakua kama Muongozo wa nini wakipigie mkazo kwenye uchaguzi ujao……………….

Nimeona pia website ya Chadema imepooooza...lol,

Mngeweka viwango vya JF ingechangamka na kuwa chanzo cha mabadiliko...

ikiwezekana mu ajiri watu professional kwa ajili ya kuendeleza website yenu..

Muwe na jumatano njema,

Becky.
wakiwa na app ccm ndio watakaojaa humo wakijiita wapinzani
 
Hello JF,

.ili upinzani kushinda ni lazima waonyeshe wananchi kwa nini wao{Upinzani} ni bora Zaidi ya serikali iliyopo...

Kwa vile mikutano ya kisiasa imekatazwa mpaka wakati wa uchaguzi…..

Hii imeweka mazingira magumu kwa wao kuonyesha mipango yao…...

kuwafikia wananchi wote ambao wangekuwa informed kutokana na hio mikutano hio ya siasa,...

na hivyo ku make decision kuchagua upinzani,hii ni ngumu kwenye climate iliyopo sasa hivi...

Sasa basi mie nimeona tufanye mikutano ya kisiasa 'kidigitally' ...

Nimeona statistics zinaonyesha half of Tanzanian population now have access to internet na trend is going upward,

Who knows baada ya miaka mitano sita iliyobaki ya Magufuli, watu wenye internet watakua 75% au 80% ya watu wote wa Tanzania...

Don't you think this is one area that should be invested on???

Upinzani{especially Lissu coz he is influential),wangekua na 'App' yao inayo update sera zao daily,na pia kusikiliza watu wa kawaida wanasema nini,na vipi matatizo yao...

Kusikiliza watu wanasema nini,wapi serikali ya sasa imeshindwa kutekeleza expectations zao,hii itakua kama Muongozo wa nini wakipigie mkazo kwenye uchaguzi ujao……………….

Nimeona pia website ya Chadema imepooooza...lol,

Mngeweka viwango vya JF ingechangamka na kuwa chanzo cha mabadiliko...

ikiwezekana mu ajiri watu professional kwa ajili ya kuendeleza website yenu..

Muwe na jumatano njema,

Becky.

Una akili kinoma Becky!
 
Kuna platforms nyingi sana online tena nyingine zisizoweza kudukuliwa. Sioni haja ya upinzani kuwa na app ya upinzani maana kwanza mpaka iwe launched itakua imepata vikwazo vya kukatisha tamaa.

Upinzani utumie vizuri hizi platform zinazo exist kwaajili ya ku rally masses ahead of the crunchy times.
 
Haitasaidia.

Unajua CCM inaanza kuvuna vijana wakiwa O Level?

Mtu anafika chuo anakua kala yamini ya Chama.

Upinzani (Tena ni CHADEMA tu) wao huanza kutafuta vijana chuoni.

App itakuepo ila wapiga kura wanakua wamefikiwa tangu wapo watoto and let's face it CCM ina hela kwa ngazi ya mashina (sijajua kitaifa) kuliko wapinzani wote hivyo inalegeza nyoyo za vijana kibao.

Nafikiri upinzani wajifunze kwa wenzao namna ya kumfikia potential voter.
 
Ni kweli.
Haitasaidia.

Unajua CCM inaanza kuvuna vijana wakiwa O Level?

Mtu anafika chuo anakua kala yamini ya Chama.

Upinzani (Tena ni CHADEMA tu) wao huanza kutafuta vijana chuoni.

App itakuepo ila wapiga kura wanakua wamefikiwa tangu wapo watoto and let's face it CCM ina hela kwa ngazi ya mashina (sijajua kitaifa) kuliko wapinzani wote hivyo inalegeza nyoyo za vijana kibao.

Nafikiri upinzani wajifunze kwa wenzao namna ya kumfikia potential voter.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hello JF,

.ili upinzani kushinda ni lazima waonyeshe wananchi kwa nini wao{Upinzani} ni bora Zaidi ya serikali iliyopo...

Kwa vile mikutano ya kisiasa imekatazwa mpaka wakati wa uchaguzi…..

Hii imeweka mazingira magumu kwa wao kuonyesha mipango yao…...

kuwafikia wananchi wote ambao wangekuwa informed kutokana na hio mikutano hio ya siasa,...

na hivyo ku make decision kuchagua upinzani,hii ni ngumu kwenye climate iliyopo sasa hivi...

Sasa basi mie nimeona tufanye mikutano ya kisiasa 'kidigitally' ...

Nimeona statistics zinaonyesha half of Tanzanian population now have access to internet na trend is going upward,

Who knows baada ya miaka mitano sita iliyobaki ya Magufuli, watu wenye internet watakua 75% au 80% ya watu wote wa Tanzania...

Don't you think this is one area that should be invested on???

Upinzani{especially Lissu coz he is influential),wangekua na 'App' yao inayo update sera zao daily,na pia kusikiliza watu wa kawaida wanasema nini,na vipi matatizo yao...

Kusikiliza watu wanasema nini,wapi serikali ya sasa imeshindwa kutekeleza expectations zao,hii itakua kama Muongozo wa nini wakipigie mkazo kwenye uchaguzi ujao……………….

Nimeona pia website ya Chadema imepooooza...lol,

Mngeweka viwango vya JF ingechangamka na kuwa chanzo cha mabadiliko...

ikiwezekana mu ajiri watu professional kwa ajili ya kuendeleza website yenu..

Muwe na jumatano njema,

Becky.
"Nimeona statistics zinaonyesha half of Tanzanian population now have access to internet na trend is going upward,"

Rebeca 83 sijui hii umepata wapi maana tulionao takwimu zikisema ni asilimia 27% ndio wenye access ya internet.
Hiyo kuongea Hadi 50%
InShot_20190313_131912082.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom