Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,742
- 18,479
Naona Sheria Za Ajabu Ajabu Na Kandamizi kwa Wanyonge Zinapitishwa Tena Bila Kipingamizi Chochote....Mnyika wher ar u bro...Zito Kabwe...Halima Mdee And the likes....Ina Maana Hiz Sheria Zinazopitishwa Huko Bungeni hamzioni ama nn?....Toka Ameondoka Dr Slaa Upinzan umekosa dira kabisa wamebaki kuendeshwa NA matukio NA kufuata upepo tu unapoelekea.......We Mic U Father Slaa.