Upinzani upo kwenye mioyo ya watu

Upinzani upo kwenye mioyo ya watu

Nteko

Senior Member
Joined
Mar 16, 2019
Posts
108
Reaction score
99
Ukweli ni kuwa kumbe Punda unaweza kumulazimisha kutembea ila huwezi mulazimisha kunywa maji.


Watu huwa wana lugha za mioyoni
Kweli watanzania wanasita kujiandikisha kunani?

Hali hii inaweza zidi mwakani ,uchaguzi mkuu watu wakipata vitambulisho vya utaifa,vya kupiga kura ,hawatajali ,vitambulisho vya kupiga kura tena.

Taifa linahitaji hamasa mpya
Viongozi waruhusu Upinzani ilikujipa uhalali wa kutawala

Itafika mahali ,kiongozi anatawala miti,anahutubia punda ,wasio sikia

Tanzania bado ni njema mwalimu aliijenga ,Tuwatake, viingozi wapya waijenge Tanzania .isije tokea unaipenda Tanzania lakini yenyewe inakuchukia.
Taifa litafakari ,Uandikishaji ,umeongea ndani ya mioyo ya watanzania kunajambo in common si jema
 
Watanzania wa sasa wanataka kubishana kwa hoja na siyo kubishana kwa ngumi. Hwataki mtu mmoja afikirie kwa niaba ya wote wakati wengine wameishi naye muda mrefu na wanamjua uwezo wake.
 
Back
Top Bottom