Upinzani upange safu yake ya IT

Upinzani upange safu yake ya IT

N'yadikwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2014
Posts
7,992
Reaction score
12,036
Uchaguzi mkuu unakaribia huu mfumo wa BVR ambao utatumika,upinzani usipokaa vizuri kura zitaibwa vizuri tu! kwa hiyo Upinzani ujipange
 
Sijakuelewa, hebu tulia na uandike vizuri mkuu
 
Visingizio hivi ni dalili za kushindwa, hakuna jipya hapa.
 
Mkuu unatakiwa uwe na uweledi wa unachokiandika...nani kakwambia BVR itatumika kupiga kura? ???
 
Sijakuelewa, hebu tulia na uandike vizuri mkuu
Kawaida ya mtu mwenye suaga za kijinga, hawezi kutulia na kupangilia ujinga wake. Mada kama hizi zinatupotezea muda sana.
 
Uchaguzi mkuu unakaribia huu mfumo wa BVR ambao utatumika,upinzani usipokaa vizuri kura zitaibwa vizuri tu! kwa hiyo Upinzani ujipange
Huenda una hoja nzuri sana lakini umeshindwa kueleza ubovu wa BVR. Ninavyofahamu ni kwamba BVR itatumika katika kuandikisha wapiga kura tu, haitatumika kuhesabu kura au kazi yoyote kwenye kituo cha kupiga kura.Hilo unalozungumzia la kuiba kura naomba ulifafanue ili niwajulishe wahusika waanze kujiweka sawa kukabiliana nalo.
 
Kawaida ya mtu mwenye suaga za kijinga, hawezi kutulia na kupangilia ujinga wake. Mada kama hizi zinatupotezea muda sana.

Wewe pia ni mjinga Kwa sababu umei reply mada ya kijinga
 
Huenda una hoja nzuri sana lakini umeshindwa kueleza ubovu wa BVR. Ninavyofahamu ni kwamba BVR itatumika katika kuandikisha wapiga kura tu, haitatumika kuhesabu kura au kazi yoyote kwenye kituo cha kupiga kura.Hilo unalozungumzia la kuiba kura naomba ulifafanue ili niwajulishe wahusika waanze kujiweka sawa kukabiliana nalo.

Huu mfumo si wakuandikisha wapga kura tu bali hata upigaji kura kama ilivyokuwa kenya. Katika uchaguzi wa kenya palikuwa na madai kuwa tume iliseti baadhi ya kura zisionekane kwa mfano kila baada ya watu wawili anaefuata taonekana hajapiga.Kuna ujanja wa kuifanya mashine ishindwe kufanya kazi maeneo yenye wapinzani wengi unakuta inazimazima hadi mnakata tamaa jamaa ana hoja
 
kweli ana hoja ya msingi ukizingatia BVR unaendeshwa na serkali kupitia tume isiyokuwa huru bado
 
Sambamba na hilo pia wanatakiwa kupanga safu ya inteligensia vizuri
 
Uchaguzi mkuu unakaribia huu mfumo wa BVR ambao utatumika,upinzani usipokaa vizuri kura zitaibwa vizuri tu! kwa hiyo Upinzani ujipange

Mambo makuu matatu upinzani wanakiwa kufanya;
1.kuimarisha safu ya IT
2.kuimarisha safu ya inteligensia na
3.kuimarisha mipango ya fedha
 
Huu mfumo si wakuandikisha wapga kura tu bali hata upigaji kura kama ilivyokuwa kenya. Katika uchaguzi wa kenya palikuwa na madai kuwa tume iliseti baadhi ya kura zisionekane kwa mfano kila baada ya watu wawili anaefuata taonekana hajapiga.Kuna ujanja wa kuifanya mashine ishindwe kufanya kazi maeneo yenye wapinzani wengi unakuta inazimazima hadi mnakata tamaa jamaa ana hoja

mkuu safi sana maana jamaa walianza kumtusi mwanzisha hoja.lkn bado inatakiwa habari iongezwe nyama kama utaweza hembu fanya kutoa maelezo basi ya nini maana ya hiyo BVR na inatumikaje na kuhusishwaje na upigaji kura??
yawezekana kabisa hii ndio faulo pekee ya ccm 2015 baada ya kuona maji yashongo yamewafika
 
mimashine yeyenywe mibovu tumeona kawe kwenye pilot registration,eti mtu ukiwa na macho mekundu camera haikuoni!!!kwa hiyo wavuta bangi na mama zetu,dada na bibi zetu wa vijijini wanaopuliza moto mpaka macho kuwa mekundu hawataandikishwa!!?maccm yana kila hila yabaki madarakani..
 
Wapinzani hawalitaki hili zimwi lililoletwa na CCM ili kuiba kura
 
Sijakuelewa, hebu tulia na uandike vizuri mkuu[/QUOTE

Tuwaachie walioelewa wachangie mkuu,hata darasani hamwezi kuelewa wote,wengine ili aelewe lazima mwalimu arudie mara 10🙁,
 
Kawaida ya mtu mwenye suaga za kijinga, hawezi kutulia na kupangilia ujinga wake. Mada kama hizi zinatupotezea muda sana.

Kwa kawaida mjinga humsikiliza mjinga mwenzake
 
Back
Top Bottom