Upigaji wa kura Marekani ni uonevu

Upigaji wa kura Marekani ni uonevu

Nah
Clinton alipata kura nyingi zaidi ila Trump alipata kura nyingi kuliko Hilary kwenye majimbo mengi

Ilivyo ni kuwa ukipata kura nyingi zaidi kwenye jimbo flani (hata kama ni ushindi wa kura moja) basi utapa kura za wajumbe wote kutoka kwenye hilo jimbo
 
Kisa mama kashindwa eti kaonewa siku nyingine msiwe mnaiamini sana CNN
 
Ndugu watazamaji mimi naomba mnisaidie kunielewesha hii ya Trump 289 na Clintoni 218 hayo ni majimbo ni asilimia au ni kitu gani mnifafanulue kwa upendo ndugu zangu ili nielewe.
 
Ndugu watazamaji mimi naomba mnisaidie kunielewesha hii ya Trump 289 na Clintoni 218 hayo ni majimbo ni asilimia au ni kitu gani mnifafanulue kwa upendo ndugu zangu ili nielewe.
Hizo ni kura za wajumbe wanaowajilisha majimbo waliyoshinda
Mfano Tanzania labda Dsm ina wajumbe 30 basi mgombea atakayepata kura nyingi dsm atachukua kura za wajumbe wote 30
Labda Arusha ina wajumbe 29 atakayepata kura nyingi Arusha atapata kura zote za hao wajumbe
hivyo hivyo hadi majimbo yote yanakamilika
 
Ndugu watazamaji mimi naomba mnisaidie kunielewesha hii ya Trump 289 na Clintoni 218 hayo ni majimbo ni asilimia au ni kitu gani mnifafanulue kwa upendo ndugu zangu ili nielewe.
kwa kifup kila jimbo lina idadi yake ya kura za rais kutegemea na ukubwa na idad ya watu katka jmbo, so jmbo unaloshnda hzo kura ni zako,
jumla ya kura ni 538 nadhan kwa majmbo yote
 
uchaguzi wa marekani ni uchaguzi wa kupigiwa mfano kwa wenye muungano wa zaidi ya nchi moja kama marekani ilivyo na states 50 kwa maana ya nchi 50.
ni uchaguzi ambao kila state ina haki ya kuchagua raisi iwe state ndogo au kubwa watu wengi au kidogo wote wanapata haki sawa kwenye kumchagua raisi wa marekani kwa sababu ya kutumia electoral votes,kila state ina electoral vote zake kwa hio ushindi wa raisi unapatikana kwa wingi wa electoral votes na sio wingi wa kura za watu.

wangelikuwa wanafata wingi wa kura za watu states ndogo zisingekuwa na haki ya kuchagua raisi,ni kama hapa kwetu na muungano wetu zanzibar haina haki ya kuamua ushindi wa raisi kwa sababu ya zanzibar watu ni kidogo na tanganyika watu ni wengi sana kwa hio anaepata haki ya kuchagua raisi wa tanzania katika muungano huu wa states mbili ni tanganyika tu
 
uchaguzi wa marekani ni uchaguzi wa kupigiwa mfano kwa wenye muungano wa zaidi ya nchi moja kama marekani ilivyo na states 50 kwa maana ya nchi 50.
ni uchaguzi ambao kila state ina haki ya kuchagua raisi iwe state ndogo au kubwa watu wengi au kidogo wote wanapata haki sawa kwenye kumchagua raisi wa marekani kwa sababu ya kutumia electoral votes,kila state ina electoral vote zake kwa hio ushindi wa raisi unapatikana kwa wingi wa electoral votes na sio wingi wa kura za watu.

wangelikuwa wanafata wingi wa kura za watu states ndogo zisingekuwa na haki ya kuchagua raisi,ni kama hapa kwetu na muungano wetu zanzibar haina haki ya kuamua ushindi wa raisi kwa sababu ya zanzibar watu ni kidogo na tanganyika watu ni wengi sana kwa hio anaepata haki ya kuchagua raisi wa tanzania katika muungano huu wa states mbili ni tanganyika tu
Well explained...

Sent from my SM-J100H using JamiiForums mobile app
 
Ndugu watazamaji mimi naomba mnisaidie kunielewesha hii ya Trump 289 na Clintoni 218 hayo ni majimbo ni asilimia au ni kitu gani mnifafanulue kwa upendo ndugu zangu ili nielewe.
Kura ya majimbo maana yake ni.kila jimbo lina point.limepewa.unaweza ukapata kura nyingi katika jimbo Fulani.lakini like jimbo halina point nyingi.
 
Back
Top Bottom