Upigaji wa FATAKI uelekeo wa juu

Upigaji wa FATAKI uelekeo wa juu

lukelo sakafu

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2015
Posts
2,938
Reaction score
517
Hivi ni kwanini wakati wa sherehe watu wakipiga mafataki lazima wayaelekezee juu angani? Kwanini wasiyaelekezee kiwima yaani kiulalo kushoto au kulia au hata chini ardhini kwani si litatoa rangi rangi na sauti tu bila madhara yoyote kwa raia!!

Sasa tujuzane hapa, kwanini mafataki uelekezwa juu angani?
 
Unafahamu ya kuwa fataki zinaumiza zinaweza kukupa hata kilema?

Kuna ambao wamepata vilema au kupoteza viungo vyao kwa ajili ya fataki
 
hivi ni kwani nini wakati wa sherehe watu wakipiga mafataki lazima wayaelekezee juu angani? kwa nini wasiyaelekezee kiwima yaani kiulalo kushoto au kulia au ata chini ardhini kwani si litatoa rangi rangi na sauti tu bila madhara yoyote kwa raia, sasa tujuzane hapa kwa nini mafataki uelekezwa juu angani?

Ili uweze kujua huwa fataki linafanyaje kazi kama litaelekezwa mlalo wa kushoto/kulia ama chini..... Nunua halafu uliwashe kisha ujielekezee hata usoni au tumboni, majibu ya hapo utatuletea hapa
 
Ili uweze kujua huwa fataki linafanyaje kazi kama litaelekezwa mlalo wa kushoto/kulia ama chini..... Nunua halafu uliwashe kisha ujielekezee hata usoni au tumboni, majibu ya hapo utatuletea hapa

mkuu kwani litaniua au? kwani linajeruhi? mbona gwajima alijipiga usoni mbona hajadhurika?
 
Back
Top Bottom