Upepo wa chama umekata

Upepo wa chama umekata

tofyo

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2013
Posts
2,759
Reaction score
768
tunakubali kwamba chadema ilikuja na upepo mkali .
lakini tunasahau kuwa hata upepo ni kitu cha msimu.
wana chama naomba tukubali huu upepo umekata na msimu wa chama hichi umepita labda tupeleke nguvu zetu chama kingine. umoja ni nguvu.
watu waliokuwa wanene zamani naona wamepungua uzito kwasababu ya huu msiba.

natoa siku 10 naomba maelezo kwanini chadema isishuke kwenye duru za siasa.
 
Mchumia tumbo huna jipya nenda lumumba ukachukue ujira wako wa leo
 
tunakubali kwamba chadema ilikuja na upepo mkali .
lakini tunasahau kuwa hata upepo ni kitu cha msimu.
wana chama naomba tukubali huu upepo umekata na msimu wa chama hichi umepita labda tupeleke nguvu zetu chama kingine. umoja ni nguvu.
watu waliokuwa wanene zamani naona wamepungua uzito kwasababu ya huu msiba.

natoa siku 10 naomba maelezo kwanini chadema isishuke kwenye duru za siasa.

nyau.jpg

Wewe unaweza ukawa mmojawapo kati ya hawa
 
Tofyo Tafya Tefye Tifyi Tufyu. Nani kasema kila mtu mtaani ana amani sasa. Msijidanganye kuwa chama kinakufa yani watu ndo weweeeeeee!!!! Subirini muone na naomba mjidanganye hivyo hivyo nani asiyejua Zitto alikuwa mtu wenu
 
Back
Top Bottom