Wanajamii leo mida ya saa nne kipindi cha watoto radio Praise Power mtangazaji kaongea yafuatayo nanukuu "wazaz hawamjui Mungu ndio mana walikimbia milipuko ya gongo la mboto na kusahau watoto/kupotezana nao." Sikumuelewa kwa kweli na akaongeza upendo wa wazaz kwa watoto umepungua sana. Binafsi sikumuelewa kabisa. I wish angekuwa miongoni mwa wana GMBOTO. Nawasilisha!