H Hezron Medard New Member Joined Mar 24, 2011 Posts 4 Reaction score 0 Mar 24, 2011 #1 Upendo ni neno dogo sana kikutamka na hata kimaana. BUT ndilo linalofanya kila kitu huku Duniani kiendeleee jamani au sio?
Upendo ni neno dogo sana kikutamka na hata kimaana. BUT ndilo linalofanya kila kitu huku Duniani kiendeleee jamani au sio?
msaginya Member Joined Mar 23, 2011 Posts 51 Reaction score 17 Mar 24, 2011 #2 Karibu sana jamvini.....ujumbe wako umetulia!
H Hezron Medard New Member Joined Mar 24, 2011 Posts 4 Reaction score 0 Mar 24, 2011 Thread starter #3 Mbona majina ya hum ndani yanachanganya?
Bukanga JF-Expert Member Joined Dec 13, 2010 Posts 2,857 Reaction score 1,938 Mar 24, 2011 #4 Hayachanganyi ndivyo yalivyo na yana maana yake, yachukulie hivyohvyo.Karibu ndani!:tongue:
Katavi Platinum Member Joined Aug 31, 2009 Posts 42,099 Reaction score 12,928 Mar 24, 2011 #5 Hezron Medard said: Mbona majina ya hum ndani yanachanganya? Click to expand... Ahahahaaah!! Mbona ya kawaida tu, karibu sana utakutana na majina mengi tu ya kushangaza!
Hezron Medard said: Mbona majina ya hum ndani yanachanganya? Click to expand... Ahahahaaah!! Mbona ya kawaida tu, karibu sana utakutana na majina mengi tu ya kushangaza!
Nazjaz JF-Expert Member Joined Jan 20, 2011 Posts 7,814 Reaction score 9,341 Mar 24, 2011 #6 kuna mtu humu ndani anaitwa shanga moja, mzoee tu
Mshume Kiyate JF-Expert Member Joined Feb 27, 2011 Posts 6,764 Reaction score 908 Mar 24, 2011 #7 Karibu sana!!
Mzee Wa Rubisi JF-Expert Member Joined Nov 6, 2010 Posts 1,757 Reaction score 449 Mar 24, 2011 #9 Hezron Medard said: Upendo ni neno dogo sana kikutamka na hata kimaana. BUT ndilo linalofanya kila kitu huku Duniani kiendeleee jamani au sio? Click to expand... Neno hatari sana hapa dunia,
Hezron Medard said: Upendo ni neno dogo sana kikutamka na hata kimaana. BUT ndilo linalofanya kila kitu huku Duniani kiendeleee jamani au sio? Click to expand... Neno hatari sana hapa dunia,
C chetuntu R I P Joined Jan 10, 2011 Posts 949 Reaction score 113 Mar 24, 2011 #10 Mzee Wa Rubisi said: Neno hatari sana hapa dunia, Click to expand... umenena mkuu.
Vin Diesel JF-Expert Member Joined Mar 1, 2011 Posts 9,087 Reaction score 6,392 Mar 25, 2011 #11 karibu sana jamvini