Tatizo latu ni kuwa kila mmoja anaamini yeye ni bora kuliko mwenzake
"
Lakini kibaya zaidi tumejiwekea madaraja.
"
Mtu anajiaminisha yeye si mtu wa kuwa na mtu fulani.Tunajitesa kwa kudhani kuna binadamu alie bora kuliko mwingine
"
Mpaka siku tutakaporudi kwenye maumbile ndipo binadamu atayafurahia maisha
"
Tutamtafuta sana mchawi na hatutampata!