Upendo ni nini?

Upendo ni uroho wa kutamani kitu kikurizishe nafsi yako, waweza penda kuwa mwongo, mbeya, waweza kutamani kuolewa na jamaa katili , waweza penda kuona mtu analia kwa uchungu, waweza penda pili pili kali sana unazila huku unawashwa.

Mmmmmhhhhh 🙂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…