1.Njiwa hutaga mayai
mawili tu
2.Njiwa ndio viumbe
pekee duniani wenye
mpenzi mmoja,yaani
huyo mmoja akipotea au
kufa anaebakia hawezi
kuwa na mpenzi
mwingine.Hata yule
anaebaki huendelea
kuombolea kifo cha
mpenzi wake.
3.Njiwa dume na jike
wote huwa na jukumu la
kuwalisha watoto kwa
pamoja.
4.Hata ukimfuga njiwa
akiruka umbali gani
hasahau nyumbani lazima
arudi.Ndio maana toka
zama hizo njiwa
walikuwa wakitumika
kutuma na kurudisha
ujumbe fulani.
5.Binadamu huwala njiwa
kama mboga
hivi,kumbanika,
kumchoma n.k
6.Njiwa hutumika kama
alama ya
amani,upendo,ma
tumaini na mshikamano.
7.Ni ndege wasiopenda
fujo ukiwafuga kama ni
nyumba iliyojaa ugomvi
virugu wanahama
wanaondoka. . .*ndio maana njiwa hutumika kuonyesha ishara ya mapenzi.
mawili tu
2.Njiwa ndio viumbe
pekee duniani wenye
mpenzi mmoja,yaani
huyo mmoja akipotea au
kufa anaebakia hawezi
kuwa na mpenzi
mwingine.Hata yule
anaebaki huendelea
kuombolea kifo cha
mpenzi wake.
3.Njiwa dume na jike
wote huwa na jukumu la
kuwalisha watoto kwa
pamoja.
4.Hata ukimfuga njiwa
akiruka umbali gani
hasahau nyumbani lazima
arudi.Ndio maana toka
zama hizo njiwa
walikuwa wakitumika
kutuma na kurudisha
ujumbe fulani.
5.Binadamu huwala njiwa
kama mboga
hivi,kumbanika,
kumchoma n.k
6.Njiwa hutumika kama
alama ya
amani,upendo,ma
tumaini na mshikamano.
7.Ni ndege wasiopenda
fujo ukiwafuga kama ni
nyumba iliyojaa ugomvi
virugu wanahama
wanaondoka. . .*ndio maana njiwa hutumika kuonyesha ishara ya mapenzi.