Wadau mlio karibu na eneo la tukio au mnaopita karibu na eneo hilo, nini kinaendelea muda huu kuhusiana na maandalizi na maendeleo ya mkutano wa Bandari?
Tunaomba mtupe updates za kinachoendelea kabla mkutano huo haujaanza rasimi.
Wadau mlio karibu na eneo la tukio au mnaopita karibu na eneo hilo, nini kinaendelea muda huu kuhusiana na maandalizi na maendeleo ya mkutano wa Bandari?
Tunaomba mtupe updates za kinachoendelea kabla mkutano huo haujaanza rasimi.
Wadau mlio karibu na eneo la tukio au mnaopita karibu na eneo hilo, nini kinaendelea muda huu kuhusiana na maandalizi na maendeleo ya mkutano wa Bandari?
Tunaomba mtupe updates za kinachoendelea kabla mkutano huo haujaanza rasimi.
Nimepishana na Daladala sijui imekodishwa au ina root za huko ila imejaa watu, hasa wamama wanaimba wanataka Bandari yao, nadhani hii kitu sio ya kuwapa kina Kitenge na Mwijaku wajijibie Serikali, this is Serious issue.
Nimepishana na Daladala sijui imekodishwa au ina root za huko ila imejaa watu, hasa wamama wanaimba wanataka Bandari yao, nadhani hii kitu sio ya kuwapa kina Kitenge na Mwijaku wajijibie Serikali, this is Serious issue.