MTOTELA
Senior Member
- Apr 21, 2012
- 159
- 196
Saa tano imeshatimia tunaomba mtujuze kinachojiri hapo central polisi Dar. Wale wala sembe waliotajwa jana na mheshimiwa Makonda wamesharipoti hapo au? Kama wameripot wamefunguliwa mashtaka tayari? Tupieni taarifa hapa wakuu
========
Updates......
Baadhi ya wasanii wanaendelea kufika central Polisi.
TID nae akiwasili
TID akiwasili kituo kikuu cha Polisi.
Babuu wa kitaa akiwasili kituo kikuu cha Polisi
Hamidu Chambuso aka 'Nyandu Toz' akiwasili kituo kikuu cha kati.
Wema Sepetu akiwasili kituo kikuu cha kati.
======
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema kuwa amewahoji watuhumiwa wa kutumia mihadarati kwasababu watasaidia kuwafichua wauzaji.
Kwa upande wake Kamanda Simon Sirro amesema kuwa wamewakamata watuhumiwa watano na kuwahoji wasanii watano waliofika kituoni hapo leo ili kuweza kujua ni wapi wananunua mihadarati hiyo na mwisho wataweza kuwafikia wauzaji wakubwa.
=======
Habari hii ni moja kati ya zilizojumuishwa kwenye kipindi cha Jamii Leo katika chaneli yetu ya YouTube. Kuona habari nyingine zaidi, tazama video hii hapa chini:
========
Updates......
Baadhi ya wasanii wanaendelea kufika central Polisi.
TID nae akiwasili
TID akiwasili kituo kikuu cha Polisi.
Babuu wa kitaa akiwasili kituo kikuu cha Polisi
Hamidu Chambuso aka 'Nyandu Toz' akiwasili kituo kikuu cha kati.
Wema Sepetu akiwasili kituo kikuu cha kati.
======
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema kuwa amewahoji watuhumiwa wa kutumia mihadarati kwasababu watasaidia kuwafichua wauzaji.
Kwa upande wake Kamanda Simon Sirro amesema kuwa wamewakamata watuhumiwa watano na kuwahoji wasanii watano waliofika kituoni hapo leo ili kuweza kujua ni wapi wananunua mihadarati hiyo na mwisho wataweza kuwafikia wauzaji wakubwa.
=======
Habari hii ni moja kati ya zilizojumuishwa kwenye kipindi cha Jamii Leo katika chaneli yetu ya YouTube. Kuona habari nyingine zaidi, tazama video hii hapa chini: