UPDATES: The UK has voted by 52% to 48% to leave the European Union

wenzetu wamepiga kura jana. matokeo leo tayari watu mil 30. sisi kura za watu mil 12 matokeo wiki nzima!
 
Hiyo ni shock ya muda tu mkuu.

Ukumbuke UK ni nchi ya 5 kwa ukubwa kiuchumi duniani.
unaweza ukasema ni ya muda mfupi but still hili litawaathiri sana kiuchumi siku zijazo especially wakitaka kuinvest kwa nchi nyingine za ulaya........ukiangalia now ni kwamba wanajitoa kwenye soko la pamoja na wenzao wa ulaya,huoni hiyo bado itawaathiri sana siku zijazo?
 
Nataka kusikia wachumi wanalizungumziaje hili suala.......
Inaweza kuwa ndio anguko la kiuchumi la taifa la uingereza au inaweza ikawa ni kuusukuma zaidi uchumi wake usonge mbele zaidi....na kwa namna gani.....!!???
 
Jmn unfanya mchezo nn.....yan tz mtu aseme hvyo c atadondoka jukwaan.....tz kutakua na mtu wa kutetea haki zetu pale tu tutakapohitaj kua na mtazamo chanya
 
Szczesny naona kuna mjadala kuwa Brussels wanajilaumu kuwa walichukulia mambo poa sasa wamekuwa shocked na matokeo.

Kwamba walitakiwa toka mapema waendeshe kitu kama kampeni kuonyesha namna Uk itakavyopoteza wakitoka.

Unafikiri hiyo "kampeni" ingebadili haya matokeo?
Game limekwisha
 
Watu wakilalamika tena kwa muda mrefu namna hiyo wasikilizwe! Waingereza wataonekana kama wabinafsi lakini hasa hoja ni kutosikilizwa.
 
Uk kutoka umoja wa ulaya ni digrii ya juu ya ushindi kiuchumi;sasa uk italazimika kujitengeneza na kuwa taifa kubwa kama marekani lenye nguvu,ushawishi.Lakini zaidi ninachoipendea uk ni elimu na bidhaa za viwandani hususani magari&mechanics.
-Impact zake kujitoa kiuchumi kwa africa kutaifanya kuondoa dezo za biashara na kupanua soko la bidhaa kutoka afrika.afrika itakuwa na strategies nyingi za kufanya biashara.
-mshindani mkubwa wa uk katika umoja wa ulaya ni Germany.Italazimu uk kuweka mambo sawa kiushindani na German,manake product ya Mjerumani ni forever for good.
25ed9146335aec3fa06e4b4e0ed256f7.jpg
 
unaweza ukasema ni ya muda mfupi but still hili litawaathiri sana kiuchumi siku zijazo especially wakitaka kuinvest kwa nchi nyingine za ulaya........ukiangalia now ni kwamba wanajitoa kwenye soko la pamoja na wenzao wa ulaya,huoni hiyo bado itawaathiri sana siku zijazo?

Bila shaka EU ilikuwa single market.

Wanachofanya UK ni kujitengenezea upya nafasi yake kwenye international stage, kwa maana ya kujitanua kiuchumi zaidi duniani kwa Wachina, India, Brazil na nchi za commonwealth.

Wanachotaka kulinda ni soko lao la ajira na malipo ya mishahara, huduma za jamii na ukuaji wa kipato na maisha ya waingereza kwa ujumla.
 
Uk kutoka umoja wa ulaya ni digrii ya juu ya ushindi kiuchumi;sasa uk italazimika kujitengeneza na kuwa taifa kubwa kama marekani lenye nguvu,ushawishi.Lakini zaidi ninachoipendea uk ni elimu na bidhaa za viwandani hususani magari&mechanics.
-Impact zake kujitoa kiuchumi kwa africa kutaifanya kuondoa dezo za biashara na kupanua soko la bidhaa kutoka afrika.afrika itakuwa na strategies nyingi za kufanya biashara.
-mshindani mkubwa wa uk katika umoja wa ulaya ni Germany.Italazimu uk kuweka mambo sawa kiushindani na German,manake product ya Mjerumani ni forever for good.
e236cbacd5c77d67a784161eec53e414.jpg
 
Safi sana UK coz kuna nchi kwenye ule umoja zilikuwa zikinyonya wenzao. Ila kwa sasa nahisi ndio mwanzo wa kufa ule umoja kesho utasikia nyingine imejitoa.
 
Wakijitoa NATO Ndio itakua sawa ili waache kuua watu hovyo duniani, wanafadhili ugaidi wanaua viongozi wasiowataka na kufanya Dunia kutokua sehemu salama kuishi...
 
Back
Top Bottom