Updates PCCB

Updates PCCB

hajikagoro

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2014
Posts
217
Reaction score
188
Habari wana JF, mwenye taarifa zozote za mchakato mzima wa ajira za takukuru baada ya siku kadhaa kupita tokea usaili wa mwisho ufanyike. Ni hayo tu ndugu zangu
 
Mwaka wa fedha huu kabla haujaisha lazima vijana mtwaitwa

Mjiandae na training ya miez mitatu morogorom

Mshara after deductions zote kwa graduate investigator ni 1.4m

Katika hiyo kuna hardship allowance',investigation allowances,risky allowances,house allowances keep on praying

Ongea na watu upate viatuu,usigeuke chanuo kazi zake ni mbili tuuh i.e kuchana nyweleee na kusuka nywelee..
 
Naomba sana nifanikiwe kupata ajira kitaa kinachosha sehemu yenyewe bunda pana boa balaa kilimo hakuna viwanda hakuna raia ni wengi hadi tunazidi kazi zilizopo
 
Mwaka wa fedha huu kabla haujaisha lazima vijana mtwaitwa

Mjiandae na training ya miez mitatu morogorom

Mshara after deductions zote kwa graduate investigator ni 1.4m

Katika hiyo kuna hardship allowance',investigation allowances,risky allowances,house allowances keep on praying

Ongea na watu upate viatuu,usigeuke chanuo kazi zake ni mbili tuuh i.e kuchana nyweleee na kusuka nywelee..


niya kweli hayo big show
 
Mwaka wa fedha huu kabla haujaisha lazima vijana mtwaitwa

Mjiandae na training ya miez mitatu morogorom

Mshara after deductions zote kwa graduate investigator ni 1.4m

Katika hiyo kuna hardship allowance',investigation allowances,risky allowances,house allowances keep on praying

Ongea na watu upate viatuu,usigeuke chanuo kazi zake ni mbili tuuh i.e kuchana nyweleee na kusuka nywelee..



Km ni Le Mutuz ntakuchek nkishaprove ni wew
 
Back
Top Bottom