Updates: Mkutano wa CHADEMA Njombe

Ukombozi unahitaji kujitoa.safi sana wanachadema na makanda ambao kila Sikh wanasafiri kws ajili ya kuwaamusha wananchi wasilale.Mungu awalinde na mabaya yote na awape ulinzi muda wote
 
there is no escape route kwa CCM safari hii maana ya ACT nayo imefungwa
 
Zitto aliisha ifuta Chadema njombe, sasa anaelekea Arusha

Aaauuwiiii Arusha ninayoishi hii hii au Monduli kwa mamvi?!!! Kama anakuja arusha ya raisi Lema?!!! ameingia choo cha kike!! ccm huwa wanaandaa mikutano yenye plau na nyama safi lakini hata ombaomba huwa hawaendi kula!!! Subirini yatakayomkuta atajuta!! Tutakutana hapa hapa!!!
 
Huyu salum Alikuwa kuwachangisha au kuwatapeli tu . sera gani hapo alizo zungumza? Ndoo maana muna ambiwa nyie ni watu wa viroba. Munashabikia upuuzi.
 

Umenikuna sana sana..

Mungu na asikie sala yako!
 
Huyu salum Alikuwa kuwachangisha au kuwatapeli tu . sera gani hapo alizo zungumza? Ndoo maana muna ambiwa nyie ni watu wa viroba. Munashabikia upuuzi.

Sasa kwa mazungumzo haya tu wewe ndio unaonekana bwana viroba. Ungekuja kwenye mkutano
 
Zanzibar tumewaachia wenzetu CUF kwa kuwa wana nguvu kubwa na pia tuna maridhiano nao. Unataka nini wakati tayari tupo ndani ya ukawa. Tulia sindano iingie kwani mlidhani mtaweza kuihijumu cdm kirahisi kupitia wasaliti

sawa, lkn akafanye mikutano huko hata kama kwa kuipigia debe cuf. au aambatane nao katika mikutano yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…